Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unatafuta pakutokea baada ya kunyoroshwa kama kawaida yako😂😂😂😂😂., sikuletei mapungufu ya Dar leo, ukweli ni ule ule, mashambani, cant lower myself to your level😂😂😂 masikini kaumia leo, pole bro si kwa kupenda kwangu, ni facts tu, hatuwezi badilisha kamwe, endelea kulia lia bro na vijisababu.,😂😂😂 leo umepata taabu sana., unajaribu video inashindikana., umetafuta Tz yote umekosa jibu unarudi kutafuta mapungufu ya Kenya ili ujikomboe kutokana na kichapo😂😂😂😂😂😂 mwaga povu hadi basi., raha tele leo
Nimecheka sana ulipoona kibano kwenye suburb ukaona ukimbie kabisa mombasa ukaenda kwenye ushuzi mwengine wa eldoret alaf ukapokea kibano kingine kutoka moshi hapo hapo 😁😁😁😁😁 mm nilishakwambia sehmu utanidanganya kenya ni lamu au turkana au wajir lakini sio mombasa au kisumu au ushuzi mwengine
 
Uhehehehehe mbona umetoka huko au ulijua kuna bangladesh slum itakuumbua 🤣🤣🤣

😂 😂 😂 😂 😂siku ya nyani kukufa kila mti huteleza kweli😂😂😂., eti Moshi., wapi residential kama ya Mwanza ama Eldoret?., utapata tabu sana, Kericho ni nafuu sana.,
 
Tony na wewe unakubali kubebwa malenge? Let's be realistic here! Hiyo cargo yote mta import kupeleka wapi? Kwa hicho kiwanda kimoja cha chuma?
Hichi kiwanda cha chuma will be the first and only plant is Africa that processes raw iron ore into finished product steel. Kenya will no longer be importing steel. Ni kiwanda kikubwa hichi na hata kimejenga power plant yake kando.

Cc Geza Ulole
 
Mji hauna maji na uko karibu na eti leo unashindanishwa na mwanza hvi watu muko sawa kiakili😃😃😃😃😃


utalia sana leo., am not sinking to your level., 😂😂😂😂., najua umasikini uliopo Mwanza na Dar., wewe leo umeshindwa kuleta what to compare unakimbilia negatives tu, kwa boxing inaitwa hitting below the belt baada ya kuona umelemewa na huna jibu mwafaka kutoka kwako.,😂😂😂😂 hadi raha., next?
 
Satellite zikiingia kwenye orbit zitafungwa na kamba? Au zitafungwa angani na boriti na spana? Utafungaje satellite kwenye orbit?
So zikiingia kwenye orbit ni kurushwa!? Hebu acha hizo inayorushwa ni rocket. Neno funga halina maana moja hiyo. Nimekuambia hata assemble, organize hizo zinamaana ya kufunga. Ndio maana umeshangaa kusikia mtambo unafungwa sehemu Fulani.
Basi utakuwa mgumu kuelewa. Nakufundisha umebakia ubishi tu.
Kwahiyo hizo satellite zimerushwa!?
 
Haahaaa
.Funga mlango
.Wamefunga shule
.funga uzazi
.Kafungiwa (kucheza, kuimba nk)
.Funga Kamera ukutani

Inamaana unataka kusema bila kamba neno funga halipo kabisa si ndo hivyo?
Satellite yenyewe utaifunga vipi angani? Hebu nielezee vizuri ili nielewe. Na utatumia kifaa gani kuifunga angani?
 
😂 😂 😂 😂 😂siku ya nyani kukufa kila mti huteleza kweli😂😂😂., eti Moshi., wapi residential kama ya Mwanza ama Eldoret?., utapata tabu sana, Kericho ni nafuu sana.,

Unatuonesha nn kericho mashamba ya chai na vijumba vya farmers au 🤣🤣🤣🤣🤣 kwa kwa kwa kwa leo unatapatapa tu huna pakushika tulia sindano ziingie
 
utalia sana leo., am not sinking to your level., 😂😂😂😂., najua umasikini uliopo Mwanza na Dar., wewe leo umeshindwa kuleta what to compare unakimbilia negatives tu, kwa boxing inaitwa hitting below the belt baada ya kuona umelemewa na huna jibu mwafaka kutoka kwako.,😂😂😂😂 hadi raha., next?
Uhehehehe huo ndo mji leo unafananisha na mwanza 😅😅😅😅 tuendelee kumsubiri yesu ashuke kwanza 😝😝😝😝😝
 
So zikiingia kwenye orbit ni kurushwa!? Hebu acha hizo inayorushwa ni rocket. Neno funga halina maana moja hiyo. Nimekuambia hata assemble, organize hizo zinamaana ya kufunga. Ndio maana umeshangaa kusikia mtambo unafungwa sehemu Fulani.
Basi utakuwa mgumu kuelewa. Nakufundisha umebakia ubishi tu.
Kwahiyo hizo satellite zimerushwa!?
Wacha mjadala uishe. Sawa satellite zimefungwa angani.
 
Uhehehhehe umeona kuna bakora mbele ukaona ukimbilie kwenye ushuzi mwengine unaitwa eldoret 😅😅😅😅😅😅 mm hakuna mji utanidangany keny labda lamu na turkana sijui wajir ndio sijafika
umapata taabu mr. google boy., unaonea Kenya kwa mitandao, facts zinakuumbua kila uchao, wenye hekima pale kwenyu wanakuhurumia tu., kuja pole pole bro., usipate ulcers bure., naona umekosa jibu kabisa ni vijisababu uchwara na uongo peupe., 😂 😂 😂 😂 , ongeza vijisababu vingine., mr google.,😂😂😂., leo umeteseka sana., nikupigwa left right and centre., facts never lie mr. Mwanza.,😂😂😂, nangoja jibu kama umepata kutoka Tz. Mr. google..,
 
utalia sana leo., am not sinking to your level., 😂😂😂😂., najua umasikini uliopo Mwanza na Dar., wewe leo umeshindwa kuleta what to compare unakimbilia negatives tu, kwa boxing inaitwa hitting below the belt baada ya kuona umelemewa na huna jibu mwafaka kutoka kwako.,😂😂😂😂 hadi raha., next?
Umaskini gani wakufananishwa na zimbabwe 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
 
umapata taabu mr. google boy., unaonea Kenya kwa mitandao, facts zinakuumbua kila uchao, wenye hekima pale kwenyu wanakuhurumia tu., kuja pole pole bro., usipate ulcers bure., naona umekosa jibu kabisa ni vijisababu uchwara na uongo peupe., 😂 😂 😂 😂 , ongeza vijisababu vingine., mr google.,😂😂😂., leo umeteseka sana., nikupigwa left right and centre., facts never lie mr. Mwanza.,😂😂😂, nangoja jibu kama umepata kutoka Tz. Mr. google..,
Sababu gani uehehhehehehhehe 🤣🤣🤣 sasa hvi heshima itakuwepo sasa endelea kuichukia Ccm sasa
 
Uhehehehe huo ndo mji leo unafananisha na mwanza 😅😅😅😅 tuendelee kumsubiri yesu ashuke kwanza 😝😝😝😝😝
am still waiting bado domo domo?😂😂😂😂 video clips zako zimeongea kikamilifu maneno yako ni hewa tupu kwa sasa., umejiaibisha bro.,😂😂😂😂., now niletee tu Dar tuendelee tukingoja electric train, hauna lako kamwe, umekamuliwa yote, hewa imekuishia, ni domo domo tu na kiswahili ndio umebakisha😂😂😂
 
Wakati tunaendelea na mnyukano, Afrika Kusini wamekataa vaccine ya AstraZeneca ambayo iliingia wiki jana. Walipozifanyia uchunguzi zimeonekana hazifanyi kazi kwenye kirusi cha Afrika kusini kilichobadilika.

Kwa mtazamo wangu naona sasa wameamua kumsikiliza Magu, maana mwaka jana walimbeza.
 
am still waiting bado domo domo?😂😂😂😂 video clips zako zimeongea kikamilifu maneno yako ni hewa tupu kwa sasa., umejiaibisha bro.,😂😂😂😂., now niletee tu Dar tuendelee tukingoja electric train, hauna lako kamwe, umekamuliwa yote, hewa imekuishia, ni domo domo tu na kiswahili ndio umebakisha😂😂😂
Nasema mombasa ikitoka hapa nitag mm nifunge acc jamii forum hakuna porojo wala mama yake 👇👇👇👇👇😁😁😁😁😁





 
Back
Top Bottom