ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
According to who???african full facts😅😅😅Westlands3
According to who???african full facts😅😅😅Westlands3
Mzee bado upo Nairobi?Aafu kuna andazi upepo sijui kazi ya Amira au pump 🤣maana ndani huwa imejaa hewa🙂Kula msosi wa maana Kenya gharama🙂
bro [emoji1438][emoji3603].. kumiliki hii kitu na kumpeleka maeneo hayo mara kwa mara si kazi ndogo.. hongera yake ‘tajir’ anaemiliki hii [emoji23][emoji23]
Wewe umeishi maeneo gani ya Kenya na kwa muda upi?Yaani wanashindia Chapati...
These guys wana extreme poverty..
Imagine Chapati mtu anakula mara 3 kwa siku na Sukuma wiki...
Nyama haina hata viungo nyanya mbovu wanaita beef... Ila wakiwa jamiiforums wanapiga kelele
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu wanafaidi kweli🙂[emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1693951
Nakuja mwezi ujao naomba unipokee😀Mzee bado upo Nairobi?
Tupe update ya new bus park karibu na Uhuru park imefikia wapi?Jengo la 88 liko karibu kuchomoza kwenye ground-level.
View attachment 1693943View attachment 1693944View attachment 1693945
MashaAllah MashaAllah world class infrastructure kazi safi 😀
Usisahau picha [emoji3][emoji3]Na
Nakuja mwezi ujao naomba unipokee[emoji3]
Hehehehe 🤣🤣🤣🤣 insha'Allah ntajitahidi ustaaz wangu 👍Usisahau picha [emoji3][emoji3]
Why do you want to come to Nairobi when you hate is so much?Na
Nakuja mwezi ujao naomba unipokee😀
Nakuja kwa ajili ya kikazi bro siji kukaa wala kushangaa and I don't hate Nairobi nachukia miundo mbinu tu🙂Why do you want to come to Nairobi when you hate is so much?
mwanamke una mashushu kama bi.kidude..[emoji4]Kheee!!yamekua hayo tena profesa, kisha ukitaka kunijua mie kutoka rangi, majina kamili, maisha yangu halisi, elimu pale nilipofikia, kazi ninayofanya mbona kzi rahisi tu..
We njoo mombasa alafu uni PM tu chap chap mwenzako nakutokea, ila kwa taarifa yako mimi hamu sina na wala sitaki kukujua kamwe. ila we km una umuhimu na hvyo nilivyokutajia njoo ujionee wala usisubiri kuhadithiwa..upo?
Umeongea matope sana kuhusu Kenya kwamba kuna slum kila mahali na bado unataka nikualike kwangu? Halafu ndio uje hapa kunisengenya?Na
Nakuja mwezi ujao naomba unipokee😀
vitu vyangu[emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1693951
Kweli mnamatatizo kwa hiyo umezira?🙂kuhusu wewe kuni host sina mpango huo🙂nina plans zangu binasfsi sehemu ntakapo fikia na kuishia kazi ina gharamia Mambo yote 🙂Umeongea matope sana kuhusu Kenya kwamba kuna slum kila mahali na bado unataka nikualike kwangu? Halafu ndio uje hapa kunisengenya?