Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi hapa

View attachment 1693526
hapa....
20210111_195341.jpg
20210111_195326.jpg
 
Nyie wakenya mnaojidai mko well developed wakati asilimia kubwa hamwezi hata Ku afford 3 meals per day🙂wakati Sisi tunapiga not just 3 meals but heavy and nutritious meals

Mtu mwenye hela na maskini Tanzania wote wanashiba🙂
Example ya breakfast ya mtu WA kawaida
Miogo,half cake,vitumbua,viazi vitamu,Karanga,makande,sambusa etc vitu maskini kwetu anakutana navyo sasa wewe niambie maskini wenu anakula breakfast ipi tuanzie hapo🙂
Lunch mboga za majani zipo kibao na tena sisi wakulima mwenyez mungu katupa ardhi nzuri yenye rutuba,mfano Chinese,matembele nyanya chungu,nswalu kisamvu etc maana mboga zipo Aina nyingi sana,mgagani mlenda,dagaa,samaki wa Aina wote ni affordable maskini wa Kenya anakula nini?🙂
Mnakula vizuri kivipi and yet Tanzania has one of the world's highest rates of severely malnourished children? Ama unadhani sisi hatusomi statistics zinazochapishwa kuhusu mambo haya? Watoto wa tumbo kubwa wamejaa Tanzania kwa kutokula protein ya kutosha. Mungu awasaidie hao watoto.
 
Mnakula vizuri kivipi and yet Tanzania has one of the world's highest rates of severely malnourished children? Ama unadhani sisi hatusomi statistics zinazochapishwa kuhusu mambo haya? Watoto wa tumbo kubwa wamejaa Tanzania kwa kutokula protein ya kutosha. Mungu awasaidie hao watoto.
Si ndiyo hawa hapa
tapatalk_1600971763591.jpg
tapatalk_1602502807931.jpg
 
Nionyeshe hapo Zambia?., ile post napingana nayo imetaja Zambia eti masikini wa kutupwa., ata kuliko Burundi?. ama haukujua unachochqngia ulirukia tu Kama kawaida...,
Sijadili abari za zambia mm nakushanga unae icheka Tz km nyie mko pazuri ....kumbe ndio ushuzi wa bata kabisaaaa...
 
Sijadili abari za zambia mm nakushanga unae icheka Tz km nyie mko pazuri ....kumbe ndio ushuzi wa bata kabisaaaa...
Umekuja kuendeleza upupu na wewe, haya beba endelea kuwehuka jitoe ufahamu kabisa mwisho utapewa taji
 
Yaani wanashindia Chapati...

These guys wana extreme poverty..

Imagine Chapati mtu anakula mara 3 kwa siku na Sukuma wiki...

Nyama haina hata viungo nyanya mbovu wanaita beef... Ila wakiwa jamiiforums wanapiga kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
Kw taarifa yao chapati zinauzwa kw mama nitilie nairobi..
Alafu huwezi linganisha tomato ya tz na kenya, vitu vyenu vyoye kuanzia vitunguu machungwa wafanya biashara wanalenga..
Mtu anakwambia live machungwa ya bongo hayendi, nyanya pia vile vile..
 
Back
Top Bottom