Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani wanashindia Chapati...

These guys wana extreme poverty..

Imagine Chapati mtu anakula mara 3 kwa siku na Sukuma wiki...

Nyama haina hata viungo nyanya mbovu wanaita beef... Ila wakiwa jamiiforums wanapiga kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
Chapati zenyewe huwa ni ngumu kuliko maisha yao.

Ukioa kenya inabidi umpeleke short course ya upishi pale the Amazon college
 
Yaani wanashindia Chapati...

These guys wana extreme poverty..

Imagine Chapati mtu anakula mara 3 kwa siku na Sukuma wiki...

Nyama haina hata viungo nyanya mbovu wanaita beef... Ila wakiwa jamiiforums wanapiga kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
Aafu kuna andazi upepo sijui kazi ya Amira au pump 🤣maana ndani huwa imejaa hewa🙂Kula msosi wa maana Kenya gharama🙂
 
Chapati zenyewe huwa ni ngumu kuliko maisha yao.

Ukioa kenya inabidi umpeleke short course ya upishi pale the Amazon college
ASA kama ugali wa kawaida kuusonga mtihani kwa wengi sijui ukimpeleka kwa kuria na wasimbiti ugali wa muogo na udaga yarabi sijui inakuaje🤣mwisho wa siku mtoto wa watu anashushiwa kipigo🙄maana wale watu huaga hawachelewi na hawapendi masiala utaskia mura huyu vp🙂
 
Tatizo una reply upuuzi, ndio manake nakupuuza..
Mtu anasema hivi we unataka ku force, haya baki pekeako basi
Kwamba huyu jamaa anakuumiza kichwa sasa🤣🤣👇👇👇
15897C63-B2ED-48CD-B622-622B81EB0271.jpeg
 
Back
Top Bottom