Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamuwezi shindana na kenya kuhusu swala la umeme[emoji1787][emoji1787]
Jamaa walitoa pesa mpka sai serikali inaunganishia watu bure haswa..
Jamaa kina nani? and when will you stop engaging in a topic without having a credible source?
 
Don't I just love green spaces!
143290464_422749562374689_8210417265950680772_n.jpg
 
Ni nadra sana kuskia shule imeungua kwa moto lakini kwenu ni kama kila baada ya siku 5 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nionyeshe mwaka jana na mwaka huu zimeungua ngapi..
Au unafikiria nikiingia jf fb huaga sioni zile shule zenu zinazounguaga hko kwenu, tatizo mie sio mnafiki..

Mambo ya ajabu ajabu hko wanandoa wanauana lkn huwezi nikuta naleta hapa, baba kmbaka mwanawe..
Mi nawazoom tu
 
Hahahahaaaaa hii picha nimeisave hii ili siku tukileta topic ya the most urbanized country tuelewane [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ile siku "mkileta"? 😂 😂 Kwani wewe pimbi hujiamini? Unangoja uletewe hoja na wanaume wenzako uanze kujaza emoji mwanzo mwisho? Kwan wewe huna akili ya kuanzisha hoja?
 
Back
Top Bottom