Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

maneno tu,unatishwa na maneno!!!

toka umeambiwa uzae una watoto kumi na ngapi mpaka sasa!!!
Rais Magufuli Ana nguvu kuliko mtu yoyote Tanzania. Neno akilisema na akilimaanisha lazima litendeke. Utaniambia kama kutakuwa na follow-up news on this issue ili tujue kama ni “maneno tu”
 
Kwn unafikiria mikopo kw wanavyuo duniani inapatikana tz pekeake, emu inua mikono juu umuombe Muumba wako walau akupe hata percent moja ya ufahamu mana sio kw kuwehuka hko...

Ngoja hata nikupuuze haswa, manake sio kawaida minyororo inakuhusu
acha kierehere we bwege haya hayakuhusu!
aya em niambie je ni watu wangapi huacha kazi serkalini na kujiunga private kwa hapa tanzania?
 
Hahahaha maafisa vipenyo mara nyingi wanaonekana kama machizi kumbe ndio wakulungwa wenyewe, yaani ni hatari na nusu

Ila hapo kiukweli sio poa hata Magu mwenyewe akikaa akatulia baadae ataona hajasema vizuri
Ni hasira tu lkn lazima akirudi nyumbani huenda akatafakari sana, ila huyo jamaa wenu ukuweka maendeleo pembeni ni mnoko..sema ni vile akili zake kw sasa zinamtuma aipeleke tz kw kasi ndio iwe km ulaya, lkn km sio hilo sai ingelikua anatuonyesha upande wake wa pili..
 
Rais Magufuli Ana nguvu kuliko mtu yoyote Tanzania. Neno akilisema na akilimaanisha lazima litendeke. Utaniambia kama kutakuwa na follow-up news on this issue ili tujue kama ni “maneno tu”
mimi nauliza magufuli kaongea kauli ngapi,na ngapi katika hizo zimetekelezwa??

hii ukiiangalia kwa haraka tu,ni mazungumzo baada ya habari.but as usually wabongo hatujambo kwa kunung'unika.
 
hoja sio kupelekwa popote,hata jf inawezafungwa kwa muda,ikawa hasara na kwetu wastaarabu.

uliza 2019 sijui kama ulikuwepo hapa,sasa hivi mods hawacheki na upumbavu wa mtu,ukijichanganya tu unakula pini.
Kwhyo hapo kakosea nini mpka apewe ban, yani naona sasa umeamua kuja kivingine..
Yan hata mods wakimfungia basi itakua jf ipo kisiasa sana

We sema tu ya kwanga unaunga mkono hayo manyanyaso
 
Hili suala liko hivi: Kama Huyo Daktari alifuata kanuni zote za ku-transfer Hana kosa kabisa. Lakini kama aliondoka kinyemela basi kosa analo.
huyo ni kama aliripoti na kusepa sasa kama alkua anachukua mshahara huku na kule ajue imekula kwake


by the way em jiulizeni kwa mwaka1 tuu serkal inapoteza watumishi wangapi wanaoamia private? na je hao wanaohama waltumia kiasi gani ktk kuwaongezea ujuzi?


magu yupo mbele ya muda so kamahilo ni kosa poa na kama sio kosa bas ametualat tutengeneze mfumo wa kulinda watumishi wa serkali
HAPO NDIPO NNAPOMUONA YUKO SAWA
 
Kwhyo hapo kakosea nini mpka apewe ban, yani naona sasa umeamua kuja kivingine..
Yan hata mods wakimfungia basi itakua jf ipo kisiasa sana

We sema tu ya kwanga unaunga mkono hayo manyanyaso
una kichwa kizito sana.
 
wewe ni nani wa kuchagua hiki aongee huyu,hiki aongee rais!!!

muuza genge anatakiwa aongee maneno haya!!anaongea akiwa anamwambia nani???
Rais wenu sometime anatoa kauli za kiboya sana, yani mpka mtu unajishtukia na kuanza kuhoji uwezo wake wa kufikiri..

Tatizo hakuna wakuhoji wala kukemea vikali kauli km hvo, waliobaki wote ni makuro
 
Rais wenu sometime anatoa kauli za kiboya sana, yani mpka mtu unajishtukia na kuanza kuhoji uwezo wake wa kufikiri..

Tatizo hakuna wakuhoji wala kukemea vikali kauli km hvo, waliobaki wote ni makuro
wewe endelea kuhoji uwezo wake wa kufikiri,si mlimwoma mwehu pia wakatia anawaambia mjifukize kuhusu corona!!!!

dunia nzima sasa imekubali kuishi na corona ikiendelea na kazi,ni kawaida ya watu vichwa kuonekana hamnazo na ma average brain.
 
Kisha uache kutaja Moderator katika mambo ya ajabu ajabu..

Karibu tule chakula cha mchana mkuu, hayo mengine yajengeni
wapi nimetag mods!!!

kama atapigwa ban bas ni kwa makosa yaliyoko jf,sio kwa sababu mimi nimewaita hatuna huo utaratibu jf.
 
mimi nauliza magufuli kaongea kauli ngapi,na ngapi katika hizo zimetekelezwa??

hii ukiiangalia kwa haraka tu,ni mazungumzo baada ya habari.but as usually wabongo hatujambo kwa kunung'unika.
Si niliweka kauli aliyozungumza au haukuiona?
AA64D074-BD7A-46A1-B7B5-FE0A2083A782.jpeg
6D4195B2-2EBF-4385-A126-9CAF5B78A975.jpeg


Halafu, usichanganye manung’uniko na critical thinking. Wengi wetu ni mashabiki ila sio watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchambua lipi ni Zuri na lipi ni baya. Kama nilivyosema, Raisi Magufuli Ana nguvu kuliko mtu yoyote nchi hii na lolote atakaloamua kufanyika lazima lifanyike. Kama tatizo ni maslahi ya kazi, Kwa nini yeye kama Rais asiboreshe hayo maslahi ili nafasi za serikalini ziwe more attractive and lucrative? Medicine sio kitu rahisi na kazi ya kuwasaidia watu kama hiyo inapaswa ipewe kipaumbele. Sio kusingizia kigezo cha uzalendo!
 
Unavyosema litashunguliliwa vizuri unatambua kuwa kuna mtu Ana hatari ya kupoteza leseni yake ya udaktari na hospitali kufungiwa? Tatizo mnafanya ushabiki wa Rais kwenye Hilo Jambo. Sio kwamba mimi simpendi Magufuli..namkubali sana, Bali natambua kuwa hakuna mwanadamu mkamilifu...hata rais hufanya makosa.
we nae unataka kuaje tena mkuu?
so neno la raisi ni sheria?
 
huyo ni kama aliripoti na kusepa sasa kama alkua anachukua mshahara huku na kule ajue imekula kwake


by the way em jiulizeni kwa mwaka1 tuu serkal inapoteza watumishi wangapi wanaoamia private? na je hao wanaohama waltumia kiasi gani ktk kuwaongezea ujuzi?


magu yupo mbele ya muda so kamahilo ni kosa poa na kama sio kosa bas ametualat tutengeneze mfumo wa kulinda watumishi wa serkali
HAPO NDIPO NNAPOMUONA YUKO SAWA
Kwanza, kama tatizo ni pesa za mkopo Kwani mtu akiajiriwa sekta binafsi pesa hazilipwi? Pili, labda kulielewa hili jambo kiundani zaidi inabidi ujiulize Kwa nini watumishi wa serikali wanakumbilia sekta binafsi. Kama maslahi ni mabovu serikalini basi serikali iingilie Kati na kufanya maboresho!
 
Si niliweka kauli aliyozungumza au haukuiona?
View attachment 1689836View attachment 1689838

Halafu, usichanganye manung’uniko na critical thinking. Wengi wetu ni mashabiki ila sio watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchambua lipi ni Zuri na lipi ni baya. Kama nilivyosema, Raisi Magufuli Ana nguvu kuliko mtu yoyote nchi hii na lolote atakaloamua linafanyika lazima lifanyike. Kama tatizo ni maslahi ya kazi, Kwa nini yeye kama Rais asiboreshe hayo maslahi ili nafasi za serikalini ziwe more attractive and lucrative? Medicine sio kitu rahisi na kazi ya kuwasaidia watu kama hiyo inapaswa ipewe kipaumbele. Sio kusingizia kigezo cha uzalendo!
kwani ni daktari mmoja ndio kafanya hayo!!!!

mhh mbona naanza kuliona tatizo hapa!!!
 
Back
Top Bottom