Hio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
billions 800 za mwanzo tulikuwa tunalipia mishahara vizur tu! what’s your next excuse pls?
Hio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
Hahahaaaa, hata hapa pia lazima mjifunze mana sisi tushatoka huku kitambo since 2015Airports tunazo. Kwanza zinaserve more passengers kushinda zenu. Abattoirs tunazo hata kama sio automated kama zenu. Hospitals tunazo lakini hapo tuna mambo kadhaa ya kujifunza maana hospitali zenu zimeanza kufanya complex surgeries in government hospitals. Hatuna lolote la kujifunza kwenye umeme kutoka kwenu.











Debt to Gdp ratio ya Tanzania ni ngapi?billions 800 za mwanzo tulikuwa tunalipia mishahara vizur tu! what’s your next excuse pls?
Tatizo nyie pesa zenu mnazifuja....pesa kidogo ukiipanga inafanya kazi kubwa sana...sasa unafikiri mngekua hamna rushwa na matumizi ya hovyo simngekua mbali zaidi?badilini mtazamoHio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
Tunasubiri ROI ianze kufanya kazi japo kdg zen tuna rebase our GDP hapo ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno from northernersHawa hawawezi kuamini kwa sasa mpaka siku tukija Kurebase GDP yetu na kuona ilo gape tutakalokuwa tumewapiga ndipo watasadiki...kwasasa hata ukiwaonesha Runway ya dhahabu watasema hyo ni south Africa sio Bongo....cjui lini tutarebase ili Uzi huu ufungwe rasmi na kuanzisha Uzi mwengne wa Tanzania VS South Africa au Egypt etc![]()





Kama mapato ya madini tu kwa mwaka ulio pita ilikuw 2.7 b , unashanga nini huku utali ukifuatia 1.9, bado mapato ya kodi...ikumbukwe miradi mikubwa haifanyik ndani ya mwaka moja...mtaumia sanaHio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
39.25%Debt to Gdp ratio ya Tanzania ni ngapi?
Hio missing link inajengwa sasa hivi tunavyoongea. Ama huna habari? Hio missing link ikishajengwa, cost of electricity itapungua kidogo na black out upande huo utapungua.Hahahaaaa, hata hapa pia lazima mjifunze mana sisi tushatoka huku kitambo since 2015View attachment 1689658
Fact .billions 800 za mwanzo tulikuwa tunalipia mishahara vizur tu! what’s your next excuse pls?
Nadhani Tony254 unajonea how we managed to finance big projects using internal source of income.Sahv ni wastani wa trillions 1.664 dingi mzee kashadouble rejea Huo mkeka View attachment 1689648
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Is this 39% Debt to Gdp ratio accurate au mnapika vitabu kama kawaida yenu?
Bro si u google hapo upate ambazo hazijapikwa...mbona unapenda mabishano yasio na tija?Is this 39% Debt to Gdp ratio accurate au mnapika vitabu kama kawaida yenu?
Hio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
Uzuri ni kwamba Magu ameweza sn kupambana na wafuja pesa hiyo ndiyo siri kubwa, utakuta miradi mingine approximately price of the project inapungua na inarudishwa serikalini je nyie kwenu ishawahi kutokea hiyo? Yn pesa iliyotakiwa kujenga mradi fulani inaonekana ilikuwa nyingi so inarudishwa kufanya mambo mengine najua hapa lazima ushangae ila inatokea bongo mara nyingi snIs this 39% Debt to Gdp ratio accurate au mnapika vitabu kama kawaida yenu?





Nimemwambia pia hapaTatzo kubwa lilipo Kenya ni rushwa na ufisadi, Gharama nying za miradi zinakuwa inflated uko kwenu hivyo kwako lazima ushangae haya yote yanawezekana vip...hii ndo maana halisi ya “Value for Money”.... Example 1M USD kwa Tanzania ina kamilisha mradi wa maji na usambazi kwa wananchi karibu vijiji vinne na zaidi ila kwa Kenya na uhakika kwa ufisadi na Rushwa iliyokuwa hyo hela yote inaishia kununulia valves au mabomba.



Uzuri ni kwamba Magu ameweza sn kupambana na wafuja pesa hiyo ndiyo siri kubwa, utakuta miradi mingine approximately price of the project inapungua na inarudishwa serikalini je nyie kwenu ishawahi kutokea hiyo? Yn pesa iliyotakiwa kujenga mradi fulani inaonekana ilikuwa nyingi so inarudishwa kufanya mambo mengine najua hapa lazima ushangae ila inatokea bongo mara nyingi sn![]()
pitia budget utaona jamaa akitenga fedha za miradi toka wakati wa kuandaa budget kwa wizara husika! Pili migodi imeongeza ulipaji wa kodi! kuna kitu kinaitwa forced account kimefanya wonders kwenye municipals at lower levels! Ukigusa fedha ya "forced account" u r automatically out! with forced account all procurement is done under strictly procurement procedures!Na pesa ya kufanya miradi hii inatoka wapi?
It is even below that percent its is around 34%! Nyie si mmepika juzi IMF imewaumbua na kuwalazimisha madeni ya parastatals kuwa included!Is this 39% Debt to Gdp ratio accurate au mnapika vitabu kama kawaida yenu?
as an accountant u should break up the collection and the cost of all the projects! Since 2015-2016 budget he has been setting aside funds for the projects according to his development agenda! kwani award ya prudence on revenues GoT ilipewa unafikiri anapendelewa ama?Hio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.