Have been following this thread for the past 5yrs and I can say it used to be very informative on infrastructure development matters on both countries. All i can say is kudos

to the EAC region


. Despite that nowadays this thread is becoming so boring with dick measuring contexts topics whereby both Patriots wa KE

& Tz

end up with misleading information to the masses. I believe when Annael started this thread it was to showcase the uniqueness & positivities of our beautiful cities not the ugly toxic topics zenye huwa zimejaa huku sikuizi. Kuna Baadhi ya watu huku mnaturudisha nyuma sana kwa kurushiana maneno mingi za upuzi. Uzi huu Penye umetoka ni mbali na unaelekea mbali zaidi. So please let's brothers have some decorum on how we exchange ideas.Kumbuka Kuna 1milion plus spectators always behind the keyboard ambao ufuatilia uzi despite them commenting. Mwisho ningempongeza sana
Annael you must be proud where you are. Those are my two sentiments