mabaya ya Kenya
1. kenya ni moja ya nchi zenye majeshi dhaifu kabisa na ambayo hayana uzalendo kabisa, mf. badala ya kulinda mali na uhai wa raia wao wanaiba mpaka maji
2. Wakenya ni watu wa njaa, haiwezi kupita mwaka bila njaa kupiga hodi kenya, njaa ni matokeo ya uvivu uliopitiliza, ni mpumbavu tu asiyelijua hili
3. Kenya ni failed state, ule umoja na udugu wa kitaifa haupo kabisa, mzungu kenya anahusudiwa kama Mungu.
4. Ni nchi ya kenya pekee ambayo wageni/wazungu wanamilikishwa misitu kwa ajili ya makazi huku raia wakiishi kwenye mabanda yenye hadhi ya mabanda ya kuku
5. wakati wa ukombozi wa bara la afrika wakenya daima walikuwa mapuppet wa wazungu na makaburu
6. kenya wana uchumi usioakisi maisha ya kawaida ya wakenya
7. wakenya ni sawa na watumwa ndani ya kenya. kwani njia kuu za kiuchumi zimeshikwa na wachache na wengi wa nyangau wasiojielewa wamebaki kuwa tennants, wafanyakazi kwa ujira mdogo n.k
8. wakenya ni wakabila sana sana hata familia moja inabaguana
9. KENYA NI MFANO HALISI WA TAIFA LENYE UHURU WA BENDERA. KENYA NOT YET UHURU; ALL MAJOR MEANS OF ECONOMY ARE OWNED BY MINORITY AND MOST OF THEM ARE FOREIGNERS!