ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,420
- 136,770
So sasa hvi haoti tena 🤣🤣🤣🤣🤣Hata kama tuna wahindi ni wachache mno
Kwani kwa ATCL wako wangapi na KQ wako wangapi hao wageni?Leo wamekua wakenya sio
Sio nynyi hapa mnaotukejeli mkiona mhindi au mzungu kenya ana kampuni..
Leo mumetafuta post ya kq, wapi imesema ni pilot wao..
Ukiniletea nakubali tu, na sijakataa km hakuna ila ni wachache sana compare na kwenu..
Yani pilot na mwenzake wote wanakuaje wahindi bana
Mashirika mengine hadi menejimenti wamechukua watu wa nje maana wazawa hawana uwezo huo. CEO wakizungu na pilot wa kihindiHata kama tuna wahindi ni wachache mno
peleka ufala hamna hata siku moja Mtanzania anabagua Watanzania wa asili nyingine mara nyingi mnaanzisha argument hizi na huwa tunawa-prove wrong! Leta evidence sisi huwabagua Wakenya wasio weusi ! Mambo ya ubaguzi ni DNA ya Wakenya!Leo wamekua wakenya sio
Sio nynyi hapa mnaotukejeli mkiona mhindi au mzungu kenya ana kampuni..
Leo mumetafuta post ya kq, wapi imesema ni pilot wao..
Ukiniletea nakubali tu, na sijakataa km hakuna ila ni wachache sana compare na kwenu..
Yani pilot na mwenzake wote wanakuaje wahindi bana
Ilo kwao hawalioni na sio CEO tu unaeza kuta mpaka financial controller ni mzungu pia 🤣Kwani kwa ATCL wako wangapi na KQ wako wangapi hao wageni?Mashirika mengine hadi menejimenti wamechukua watu wa nje maana wazawa hawana uwezo huo. CEO wakizungu na pilot wa kihindi
Wahindi wamejaa atcl bana, uki search kila picha hukosi chothara bana..Kwani kwa ATCL wako wangapi na KQ wako wangapi hao wageni?Mashirika mengine hadi menejimenti wamechukua watu wa nje maana wazawa hawana uwezo huo. CEO wakizungu na pilot wa kihindi
Sasa nyie ni akina nani mpka muwabague wakenya wa asili zingine, kwhyo na sisi tuna uhuru wa kuwagua hao wahindi wanaojificha katika mgongo wa ujamaapeleka ufala hamna hata siku moja Mtanzania anabagua Watanzania wa asili nyingine mara nyingi mnaanzisha argument hizi na huwa tunawa-prove wrong! Leta evidence sisi huwabagua Wakenya wasio weusi ! Mambo ya ubaguzi ni DNA ya Wakenya!
Tony nikikutukana utasema unataka kuniblockHata kama tuna wahindi ni wachache mno
Kukurupuka kwio? Kwa mfano? Mna taka kila Kabila iwe na na radio/ runinga yake? Kama nyie wazee wa ukabila? Sisi ujinga wa hivyo huwez ukakuta msela wangu na kwa unafik sidhan kama kuna mfano wenu inajulikana kote mjiangalie🙂Hapa umekurupuka
Rudi tena shule, tayari umeshaambiwa muacha mila ni mtumwa na nyie mkutupa mila zenu kusingizia umoja..
Kiswahili hakijakwambia utupe mila, eti mtu akiongea kikabila dar mnamuona mshamba..
Wapuuzi sana nyie...
Wanafiki km nyie duniani hakuna
Hyo kuwa na redioa za kikabila ni hatia kw watu ambao wameshakua watumwa kitambo hta mila zenu hamzitambui kw kusingizia ujamaa na kiswahili ambacho hata mababu zenu wakifufuka ukiwaongelesha wanashtuka kwanza...Kukurupuka kwio? Kwa mfano? Mna taka kila Kabila iwe na na radio/ runinga yake? Kama nyie wazee wa ukabila? Sisi ujinga wa hivyo huwez ukakuta msela wangu na kwa unafik sidhan kama kuna mfano wenu inajulikana kote mjiangalie
nyie ndo mlianza baada ya kuona Mo Dewji the only billionaire in EA!Sasa nyie ni akina nani mpka muwabague wakenya wa asili zingine, kwhyo na sisi tuna uhuru wa kuwagua hao wahindi wanaojificha katika mgongo wa ujamaa
daah,unaongea usichokijua........True Lakini Heri kupika chakula za kiutamaduni zenyu kuliko za wengine,unapata TZ huko wote wanaishi na kukula kiuswahili wote mpaka maasai,Kenya kwajili ya Utamaduni tofauti makabila flani hayaelewani na kuleta Vita Kwahivyo hatujapoteza utamaduni
Ma pilot wa asili za nje katika post zako wanatafutwa kw tochiTony nikikutukana utasema unataka kuniblock
Lakini wewe ni bonge la shenanigan na hapo bado sijamueka CEO wa KQ
View attachment 1685742View attachment 1685743View attachment 1685744View attachment 1685745View attachment 1685746View attachment 1685747
Woooiii!!unasema hapa mkisema kenya ni ya wazungunyie ndo mlianza baada ya kuona Mo Dewji the only billionaire in EA!
hata nchi yako hauijui,,au unajitoa akili kama demu anayejiuza.....Unaota wewe
Kweli we limbukeni Kenya ya kila mtu? Nenda we mjaluo kajenge central uone sasa au mkikiyu kaoe kwa kisii utupe repoti wadanganye watu ambao hawajakaa Kenya 🙂Sisi mtu yeyote Yule anakaa mkoa wowote ule bila ya tatizoHyo kuwa na redioa za kikabila ni hatia kw watu ambao wameshakua watumwa kitambo hta mila zenu hamzitambui kw kusingizia ujamaa na kiswahili ambacho hata mababu zenu wakifufuka ukiwaongelesha wanashtuka kwanza...
Km nyie kufungua redio ya ukabila ni hati basi mumechemka, kenya ni ya kila mtu wala si ya waswahili wala wazungu..
Kwenu nyie km kuangalia vihiindi vya kihindi na kikorea huru lkn vya kichaga hatia basi mpo usingizini
Mnatokwa hadi na makamasi kwa sababu mumeambiwa ukweli. Nyinyi hamna enough black pilots. Mpo nyuma sana.