Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na kazi imeanza 👇👇👇
E0364DFB-923F-4F5E-98F6-F459B4737A4C.jpeg
 
Huyu wa kushoto ni Mbantu na ndio head wa training! Najua mko weusi kama mafuta ya bunduki huko Kenya kwahiyo kila fair person ni chotara!

Niliwahi kukutana na Mkenya mmoja nilipokuwa nafanya intenship Barrick miaka ya 2008 akaniambia ati hakuwa anajua kama Watanzania wako fair, nilitamani kumkata vibao maana ndo ilikuwa salamu!

Nikajiuliza hili fala limetoka wapi?

yani ukiangalia fleet size ya shitika na idadi ya machothara hata ni aibu walai[emoji23]
 
Machothara wawili wawili wakichanja mbuga[emoji23][emoji23]
Watu weusi kwn hamna jamaniView attachment 1685778View attachment 1685779
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao ni marubani wa boeng ambao walikuja na hiyo ndege huku wakiambatana na rubani wakitanzania hapo walitake photo tu memory hiyo....
leo nimecheka sana much know kumbe hamna mlijualo zaidi ya kujifurahisha tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao ni marubani wa boeng ambao walikuja na hiyo ndege huku wakiambatana na rubani wakitanzania hapo walitake photo tu memory hiyo....
leo nimecheka sana much know kumbe hamna mlijualo zaidi ya kujifurahisha tu
wacha kudanganya hao ni marubani wa Air Tanzania hamna tatizo kuwa na Watanzania wa asili ya Kiasia! Waache wabaguzi waendeleee kujidai nhawana watu wa asili nje ya Wabantu KQ!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao ni marubani wa boeng ambao walikuja na hiyo ndege huku wakiambatana na rubani wakitanzania hapo walitake photo tu memory hiyo....
leo nimecheka sana much know kumbe hamna mlijualo zaidi ya kujifurahisha tu
Hapo we unaona marubani wangapi[emoji23][emoji23]
 
wacha kudanganya hao ni marubani wa Air Tanzania hamna tatizo kuwa na Watanzania wa asili ya Kiasia! Waache wabaguzi waendeleee kujidai nhawana watu wa asili nje ya Wabantu KQ!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao ni marubani wa boeng ambao walikuja na hiyo ndege huku wakiambatana na rubani wakitanzania hapo walitake photo tu memory hiyo....
leo nimecheka sana much know kumbe hamna mlijualo zaidi ya kujifurahisha tu
 
We si umesema ujaluoni mtu hawezi jenga sasa unahangaika nini tena[emoji23][emoji23]
Au bado huajalewa km nishakupuuza kitambo, we ukishaambiwa ni kijiweni tayari elewa nlikua namaanisha nini
We kweli bingwa wa kuishia mitini,kama ndo style yako yakukwepa maswali kweli bingwa Sana nakupa pongezi basi Bora nikuupuze hata Mie🙂
 
Nioneshe airhost wa Tanzania alietolewa nje ya nchi, Kenya mbona hamjikubali? Mna laana ya kujibagua!
Wao wakiona mtu mweupe ni sawa wamemuona Mungu
mkenya akiolewa na mzungu hua anajihisi kaolewa na malaika wana ujinga hao watu waone hvi 😀😀😀😀
 
Hapo we unaona marubani wangapi[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ni vitu gani sasa,,,,,muwe mnaongea vitu kwa kujishtukia msiwe mnaropoka ropoka story za genge,,,,,,

top wenu ndiyo huyo tena wameshade kabisa jina lake kwa wino mweusi it means,,,,anawacontrol yaani kwa upande wa habari za foreigners kujaa na kushikiria hilo shirika lenu wapo wengi sababu wao ndiyo wanalicontrol hilo shirika lenu.....

huku tz hata hao marubani wachache wenye rangi ya asili ya asia mnaotuletea ubaguzi ni watanzania pure .....
tupo tofauti msipende kuongea vitu msivyojua kwa kujifurahisho...

CLOSED TOPIC. uhalisia mnaujua usipoteze mda
20210125_133009.jpg
20210125_132949.jpg
 
Back
Top Bottom