Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio ya kawaida? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imejengewa Almasi? Au miujiza ilihusika kwenye ujenzi?
Umenielewa lkn bado unataka kuoindisha pindisha mambo tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwyo hapo wewe unajifanya hujui highway za kawaida zipoje
 
View attachment 1675800
I Love Dar, its my city lakini tumekuwa wachafu mno, we are killing this city, huwezi ukawa na vitu namba hii downtown. Its time we change and give pride with our cities. Haya mambo ya hovyo kwa lugha ya wanyonge should end. We need proper cities, smart cities.
Hii ni nchi ya kijamaa mkuu. Uzalishaji ufanywe na watu wengi zaidi. Vinginevyo eneo kama hilo kwenye hiyo picha ukitaka lisiwe na vendors wengi patakuwa na ka-supermarket kamoja tu. Kisha hao mama ntilie, machinga na wauza maandazi wote wakaajiriwe hapo kwenye hako ka-supermarket! Hapo ndipo ubepari unapofeli.

Siungi mkono uchafu na uholela. Kikubwa ujenzi wa miundombinu ya msingi uzingatie mandhali ya kuwaweka hawa watu kabla ya michoro na ujenzi. Tatizo letu tunajenga kwanza halafu ndiyo utasikia viongozi wanatoa maagizo "muwape nafasi hawa wanyonge".

Pia tuzidi kuondoa vikwazo kwa wawekezaji wakubwa kwa wadogo ili kupunguza "crowding in effect" kwenye hizi shughuli ndogondogo za uzalishaji.
 
Tusemeni ukweli hii terminal haina muonekano wa public structure at all kama mtu alishaingia Kilimanjaro kempisk hotel interior design yake ipo exactly kama hii terminal

Hii terminal unaweza sema ni 7 star hotel, ipo so luxurious and unique to the extent hata naogopa kuongelea how we gonna keep this beauty live long 😍😍😍😍
Wewe hujui unachozungumzia. Eti seven star. Kuna hoteli yoyote ya 7-star duniani? Nitajie tu hata moja.
 
Umenielewa lkn bado unataka kuoindisha pindisha mambo tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwyo hapo wewe unajifanya hujui highway za kawaida zipoje
Nimeishi Marekani miaka mingi sana na nikwambie tu kuwa nimeona highways nyingi bora kuliko hiyo Thika lakini hakuna hata moja iliyopewa jina linaloanza na “super” Hata miji yenye extensive highways and freeways kama Los Angeles Hamna jina la super highway. Ni ninyi wapumbavu mnaojifanya mko juu kwa vitu vya kawaida sana. Hata ile thread ya Likoni bridge aliyeifungua Alisema “super bridge” sasa mimi nashangaa wenye suspension/ cable-stayed bridges zenye urefu na gharama kubwa zaidi wanayaitaje madaraja yao?
 
Unateseka ukiwa wapi[emoji23][emoji23]
Kuna watu wana smile wewe hko unaumia kumbe


Jamani embu NEMC waende wakawapige Fine Wakenya kwa kuchafua mazingira ya bahari[emoji2957][emoji2957]...hilo daraja ni linaongeza water pollution[emoji16]...yaan hilo daraja ni uchafu linanikumbusha lelo daraja la TARZAN la kunesanesa
 
Wewe hujui unachozungumzia. Eti seven star. Kuna hoteli yoyote ya 7-star duniani? Nitajie tu hata moja.


1. Burj Al Arab (United Arab Emirates)

2.Taj Falaknuma Palace (India)

3.Emirates Palace Hotel (United Arab Emirates)

4. Signiel Seoul (South Korea)

5. Pangu Hotel (China)

6. Seven Stars Galleria (Italy)

7. Laucala Private Island (Fiji)
 
Jamani embu NEMC waende wakawapige Fine Wakenya kwa kuchafua mazingira ya bahari[emoji2957][emoji2957]...hilo daraja ni linaongeza water pollution[emoji16]...yaan hilo daraja ni uchafu linanikumbusha lelo daraja la TARZAN la kunesanesa
Sema ilikua huna bando la kuangalia video[emoji23][emoji23]
 
1. Burj Al Arab (United Arab Emirates)

2.Taj Falaknuma Palace (India)

3.Emirates Palace Hotel (United Arab Emirates)

4. Signiel Seoul (South Korea)

5. Pangu Hotel (China)

6. Seven Stars Galleria (Italy)

7. Laucala Private Island (Fiji)
Sasa unaweza kulinganisha hilo kopo la uji hapo Dar na hizo hoteli ulizotaja?
 
Nimeishi Marekani miaka mingi sana na nikwambie tu kuwa nimeona highways nyingi bora kuliko hiyo Thika lakini hakuna hata moja iliyopewa jina linaloanza na “super” Hata miji yenye extensive highways and freeways kama Los Angeles Hamna jina la super highway. Ni ninyi wapumbavu mnaojifanya mko juu kwa vitu vya kawaida sana. Hata ile thread ya Likoni bridge aliyeifungua Alisema “super bridge” sasa mimi nashangaa wenye suspension/ cable-stayed bridges zenye urefu na gharama kubwa zaidi wanayaitaje madaraja yao?
Nani aliyesema ni super bridge, mbona unawatia wakandarasi maneno mdomoni mwao..

Jamaa anajifanya hajui maana ya super highway eti kisa kaiishi marekani[emoji23][emoji23]acha kuhalalisha upumbavu wewe..
Kwn wewe ndio wakwanza kwenda na kuishi hko
20210114_115454.jpg
20210114_115436.jpg
 
Tusemeni ukweli hii terminal haina muonekano wa public structure at all kama mtu alishaingia Kilimanjaro kempisk hotel interior design yake ipo exactly kama hii terminal

Hii terminal unaweza sema ni 7 star hotel, ipo so luxurious and unique to the extent hata naogopa kuongelea how we gonna keep this beauty live long [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Mbona mkuu una mawazo ya ki chato chato kihvo jamani[emoji23][emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Ya Mwanza itakua balaa, mchina lazima anikomeshee mturuki
Hivi wachina wameshakua maswahiba ghafla na wakati phase one mliwakataa[emoji23][emoji23]
Kenya hakuna stesheni mbovu
 
Back
Top Bottom