Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jaluo na kikuyu wako inchi moja but zanzibar is a country of it's own ni vile tu they did a merger with tanganyika dint even know that anti-Zanzibar sentiment on the mainland is moving beyond political rhetoric. As recently as March 2017, President John Magufuli threatened to cut electricity supply to the islands if the Zanzibar failed to pay a debt of 121 billion Tanzanian shillings ($54m). that's funny tanzania iwache zanzibar wafanye tu Maneno yao Awache kujilazimisha kwao na wao wanataka kujitawala
una story za vijiweni............wangekuwa wanalihitaji hilo mapema tu wangeshalifanya usichukulie vitu simple huu muungano haufanani na muungano wowote duniani sababu huu ni zaidi ya muungano hii ni nchi......

usichukulie mambo kirahisi usipende story za vijiweni kwenye sehemu yeyote nayoishi binadamu hamuwezi wote mkawa sawa, hata hapo unapoishi kuna watu ambao wanatamani kenya isiwepo,mtu anatamani bora kenya ingeendelea kutawaliwa na wengine kuvuka mbali kabisa hutamani bora wangezaliwa europe ama amerca ,na wengine kuzamia kabisa ughaibuni..ila si wakenya wote ni baadhi tu na hiyo yote kulingana na msisha....

back to ze story fuatilia huu muungano upo vipi kuanzia dola na kila kitu kisha kafanye utafiti kwa kumuuliza mzanzibar mmoja mmoja kuhusu kuupependa muungano ama kuuchukia kisha urudi hapa na pure anwer kuliko kuropoka story za vijiweni
 
We mzanzibar halisi kweli sidhani..... wazanzibar Huwa hawana matusi uliyo nayo ni wakarimu sana. Girlfriend yangu huko ndo kwao
kama wewe ni mkenya na una girlfriend mzanzibar,unadhani watz wana nini huko!!!

mpaka uhisi ni rahisi tu watu kudai muungano uvunjike!!!muingiliano uliopo kati ya zanzibar na tz bara una bond isiyo ya kawaida
 
Ni ukweli it research if zanzibar was given a choice wangetaka kujitawala.... hata wakati wa elections walitumiwa majeshi ndo watulie wanakamdamizwa na ccm
Si kweli hujui ulisemalo... Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Natural hata kama isingekuwa 1964 lazima Nchi hizi zingekuwa Nchi Moja...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusiongee sana, Tuangalie kesho tukawapigie wapi,

Screenshot_20210119-220936.jpg
 

Attachments

  • nickel-jet-engine_luka-slapnicar-yqeXLR81Uj0-unsplash-e1600199211758.jpg
    nickel-jet-engine_luka-slapnicar-yqeXLR81Uj0-unsplash-e1600199211758.jpg
    35.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom