Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ni fifty fifty kama kawa kama dawa, watanzania wanazoa supplying tenders kama zote, New billionaires loadings


Kwenye mapato 50-50 na Barick Gold sidhani kama ni kweli. Nani amesoma hio contract? Na kama ni kweli basi mpo sawa.
 
Kuna fala anatuambia eti Tundwi is 50 kms from Dar cbd so it's no big deal even if it has that village feel. Below is Rironi, 43 kms from Nairobi cbd but imejengeka in all corners. Tanzanians you still have a long way to catch up with Nairobi
View attachment 1681032

Compare with Tundwi below, 50kms from the cbd
View attachment 1681035
kwanza nikucheke tundwi ipo ndani ya kigamboni na nipembezoni kabisa ya mji 92km from CBD...

wakenya mnautindio wa ubongo yaani 24km from nai cbd tena haijajengeka una compare na 92km from dar cbd. we si kichaa.....

je tukisema tuchukue hata 40km ya kenya from nairobi cbd si ndiyp itakuwa vituko kabisa.....

ndiyo ujue sasa dar ni kubwa km zote ila bado upo ndani ya dar na watu wamejenga ,hizo km ukiwa kenya unapata county 5 mpaka 7

halafu pori la ruiru unamuachia nani..?

unajifunza kusqeez location
20210119_124651.jpg
20210119_122143.jpg
Screenshot_20210119-124136_Maps.jpg
Screenshot_20210119-122813_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210119-123822_Chrome.jpg
    Screenshot_20210119-123822_Chrome.jpg
    57.9 KB · Views: 6
kwanza nikucheke tundwi ipo ndani ya kigamboni na nipembezoni kabisa ya mji 92km from CBD...

wakenya mnautindio wa ubongo yaani 24km from nai cbd tena haijajengeka una compare na 92km from dar cbd. we si kichaa.....

je tukisema tuchukue hata 40km ya kenya from nairobi cbd si ndiyp itakuwa vituko kabisa.....

ndiyo ujue sasa dar ni kubwa km zote ila bado upo ndani ya dar na watu wamejenga ,hizo km ukiwa kenya unapata county 5 mpaka 7

halafu pori la ruiru unamuachia nani..?

unajifunza kusqeez location View attachment 1681178View attachment 1681179View attachment 1681180View attachment 1681181
Naona uswazi huwa kila mahali😱😱😱😹😹
 
Basi hii ndio legacy kubwa ya Magufuli. Hio 50-50 revenue sharing ipo sawa sana. Halafu Magufuli ametulia sana, aliwacha kuvuta watu kazi? Zamani alikuwa anapiga kila mtu kalamu
Alikua anatutoa kwenye comfort zone ili tukae mkao wa kasi yake, saivi tayari mentality za watumishi zimekaa mkao Magufuli alioutaka.
 
Nmecheka sana Hivi kwann nchi yenu imekaa kiupigaji tu Mimi sikuwahi kuwaza kwamba kuna baadhi ya maeneo hata lami hayana...nyie wakenya mtakuja kuendelea baada ya miaka mingi sana kupita
Narejea bandiko langu hili kutoa ufafanuzi...
Nililenga kusema kwamba maendeleo ya nchi hupimwa kutoka pembe zote Za nchi. ..Sasa Mkenya wa Wajir hajui lami, maji tabu,shule tabu,lishe tabu. ...Huyo ni mkenya wa class gani?Maendeleo lazima yaguse kotekote....Ntakua nimeeleweka
 
Haya madini yote mikataba ikisimama vizur na wawekezaji wakifunguka uchumi wa Tz utafunika nchi nyingi sana
SA imekua ilivyo saivi sababu tu ya madini, japo wao walianza miaka mingi sana nyuma lakini kwa kasi hii tutafika mbali kwa hicho kitakachobaki Tanzania

Japo SA imepaa kutokana na kwamba mapato yote ya shughuli zote za madini kwa zaidi ya 80% yalikuwa yanakua reinvested hapo hapo SA, tofauti na Tanzania ilikua ni shamba tu la kuvuna, mavuno yote yanatumika kwengine
 
Back
Top Bottom