The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kwani unadhani hawajui kuwa Mwanza ni threatndiyo maana nimemuambia kuwa awe mpole......






Kwani unadhani hawajui kuwa Mwanza ni threatndiyo maana nimemuambia kuwa awe mpole......






Uyo anajua fika kwamba kuna airport inajengwa na imefika 80% sema anajifurahisha tu, hahahahaaa New Mwanza Airport
Hii hapa mpya wachana na hiyo ya zamani, 80% and countingNdio maana Samaboy na Geza Ulole hawakuwa wanataka kupost passenger terminal ya Mwanza maana wanajua ni banda la kuku










Kujitetea ni ruksa but haitaondoa ukweli kwamba nusu ya Dar ni vijiji. Hizo picha za Ruiru you can clearly see Luna hadi nyumba, tena za maana but kule kwenu ni nyasi na miti




mnachonifurahisha km chache kutoka nairobi cbd unakutana na vichaka,,,,hiyo nairobi ni kamji siyo city......jengeni kwanza...Achana na ng'ombeIngekuwa ni Tanzania ungesikia "dictator"
Compare and contrast Google Earth images between Ruiru and Tundwi below ndio tujue village Ni gani between these two. One is built up all over while the other is totally deserted with no sign of human activity. Stop comparing apples with orangeshapo ni 50km kutoka CBD we mshamba wa wapi. sehemu ikiwa hivyo haimaanishi kuwa ni villagehizo ni site za kibiashara ambazo hata ukiwa city center aidha nairobi ama dar pia utakuta viwanja vikiuzwa ni vitu vya kawaida sana ......
Sasa compare na vituko vyenu yaani 13km only tiyari mna mavichaka,leo inabidi ujue tofauti ya dar na nairobi hebu jicheke kwanza.....
jengeni kwanza hiyo nairobi bado sana,,,,,yaani km chache tu unakutana na vichaka plot
View attachment 1680924View attachment 1680929View attachment 1680930View attachment 1680931View attachment 1680932View attachment 1680933View attachment 1680934View attachment 1680935View attachment 1680936
🤣I am still in Kigamboni, Dar es Salaam. The village below is called Pemba Mnazi and it's right in Dar es Salaam city just in case you get confused 😂 😂. Huku uwanja vinauzwa bei poa 😂 😂
Enjoy your viewing!
View attachment 1680814View attachment 1680815View attachment 1680816View attachment 1680817View attachment 1680818View attachment 1680819
Sasa wewe ulitegemea kila eneo la jiji limejengwa?acha upimbi wakoI am still in Kigamboni, Dar es Salaam. The village below is called Pemba Mnazi and it's right in Dar es Salaam city just in case you get confused![]()
. Huku uwanja vinauzwa bei poa
![]()
![]()
Enjoy your viewing!
View attachment 1680814View attachment 1680815View attachment 1680816View attachment 1680817View attachment 1680818View attachment 1680819
I already showed you google earth image of the place you call kijiji vs the village that you are defending here so mush called Tundwi. Unaona zikifanana? 😂 😂mnachonifurahisha km chache kutoka nairobi cbd unakutana na vichaka,,,,hiyo nairobi ni kamji siyo city......jengeni kwanza...
50 & som thng km unacompare na 18-20 km huo ni ukichaa ,,jengeni nairobi mna eneo dogo but mnashindwa kulihumudu kwenye ujenzi
Ni mara ngapi huwa mnatuambia vile Dar ni kubwa and even quote its size? Hiyo size inaisaidia nini Kama nusu yake ni vijijini? Hizo ni vijiji kaka. Hata kijijini kwetu afadhali 😂 😂Sasa wewe ulitegemea kila eneo la jiji limejengwa?acha upimbi wako
We nawe ebu wacha ufala, huwezi linganisha Dar na Nairobi as far as urbanization is concerned, co Nairobi tu bali miji yote (capital cities) ya EA ukiunganisha huwezi fikia Dar kwa mijengo.Compare and contrast Google Earth images between Ruiru and Tundwi below ndio tujue village Ni gani between these two. One is built up all over while the other is totally deserted with no sign of human activity. Stop comparing apples with oranges
Ruiru
View attachment 1680993
Tundwi
View attachment 1680995








Hii hapa mpya wachana na hiyo ya zamani, 80% and counting
Tuberculosis housealready better than Moi airport a Tuberculosis house!








Anabishana kila kitu uyohapo ni 50km kutoka CBD we mshamba wa wapi. sehemu ikiwa hivyo haimaanishi kuwa ni villagehizo ni site za kibiashara ambazo hata ukiwa city center aidha nairobi ama dar pia utakuta viwanja vikiuzwa ni vitu vya kawaida sana ......
Sasa compare na vituko vyenu yaani 13km only tiyari mna mavichaka,leo inabidi ujue tofauti ya dar na nairobi hebu jicheke kwanza.....
jengeni kwanza hiyo nairobi bado sana,,,,,yaani km chache tu unakutana na vichaka plot
View attachment 1680924View attachment 1680929View attachment 1680930View attachment 1680931View attachment 1680932View attachment 1680933View attachment 1680934View attachment 1680935View attachment 1680936
si umeona public house ina Kigae! kigae ni matofali ya kuchoma!Tuberculosis house![]()
Kama hakusema from world bank mm nafunga acc jamii forum🤣🤣👇👇Hapo kuna world bank ganiya chayo au..
Alafu tatizo hyo link haitozuia vijana kuchapa kazi
Watu wanapiga hela wewe unaleta vi link vya media huru hapa
Mambo yetu hutoyaweza wewe kwanza ukijichanganya na media kwishnehi![]()
Of course Dar ndio mji wenye density as you can see below. 😂 😂 😂We nawe ebu wacha ufala, huwezi linganisha Dar na Nairobi as far as urbanization is concerned, co Nairobi tu bali miji yote (capital cities) ya EA ukiunganisha huwezi fikia Dar kwa mijengo.
Dar ndio mji wenye density kubwa ya buildings na hata residentials Dar usiijaribu kabisa, hakuna mabati huku, tatizo la Dar ni moja tu watu walijenga hovyo baadhi ya maeneo, lkn hizo nyumba zilizojengwa hovyo ni nyumba za block na kali, uliza walimu wa Kenya wanaofanya kazi Tz wakuambie.
Huwezi kabisa kulinganisha na usithubutu kabisa unajichosha bure kutaka kuondoa mentality ya Naipori![]()
Umekasirika sasa🤣🤣🤣🤣👇👇👇Uliza tena hilo swali lako
Pinga kabisa negua mpka kiuno kivunjike lkn narudia tena haitobadilisha chochote