Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nataka kuona passenger terminal ya Mwanza airport. Na siongei kuhusu hii mpya ambayo inajengwa sasa. Nataka kuona kama Mwanza airport ina passenger terminal ambayo ina hadhi kama ya Mombasa. Mtanzania yeyote apost passenger terminal ya Mwanza airport
 
Nataka kuona passenger terminal ya Mwanza airport. Na siongei kuhusu hii mpya ambayo inajengwa sasa. Nataka kuona kama Mwanza airport ina passenger terminal ambayo ina hadhi kama ya Mombasa. Mtanzania yeyote apost passenger terminal ya Mwanza airport
glass and steel u were even bragging of steel coming from zenith Kenya!



EgE0LJaXoAAJZAR


EgCuQ0BX0AI0-Jw
 
glass and steel u were even bragging of steel coming from zenith Kenya!

EgE0LJaXoAAJZAR


EgCuQ0BX0AI0-Jw
Kwa hivyo sasa hivi tunavyozungumza Mwanza airport haina passenger terminal yoyote? Post tu hata kama ni kibanda cha ng'ombe. Na kama hii inayojengwa ndio ya kwanza pia sema ili tuelewe.. Mimi nilidhani kwamba Mwanza airport tayari ilikuwa na passenger terminal. Nilidhani kwamba hii mpya ilikuwa ni upgrade tu.
 
Kwa hivyo sasa hivi tunavyozungumza Mwanza airport haina passenger terminal yoyote? Post tu hata kama ni kibanda cha ng'ombe. Na kama hii inayojengwa ndio ya kwanza pia sema ili tuelewe.. Mimi nilidhani kwamba Mwanza airport tayari ilikuwa na passenger terminal. Nilidhani kwamba hii .mpya ilikuwa ni upgrade tu.
Wapi cargo terminal Moi?

largest cargo terminal East and central Africa
Ds27utQX4AAu5BP
 
Hivi eneo ambalo lipo surveyed ni kijiji? Hilo ni eneo la halmashauri ya Kigamboni district, lilikua lipo reserved, sasa tayari limefanyiwa survey na real estate agents wapo kwenye joint ventures na Council kuuza surveyed plots

Ulishaona wapi vijiji vilivyopo Nairobi vikiwa surveyed?

View attachment 1680851
Wacha kujitetea kijana. Nusu ya Dar ni vijiji. Na mko busy hapa mentioning Dar's size wakati nusu ya hiyo ni vijijini kabisa. Bado nitaendelea kuleta hizo vijiji watu wajionee Dar ilviyo 😂
 
hapo ni 50km kutoka CBD we mshamba wa wapi. sehemu ikiwa hivyo haimaanishi kuwa ni village hizo ni site za kibiashara ambazo hata ukiwa city center aidha nairobi ama dar pia utakuta viwanja vikiuzwa ni vitu vya kawaida sana ......

Sasa compare na vituko vyenu yaani 13km only tiyari mna mavichaka,leo inabidi ujue tofauti ya dar na nairobi hebu jicheke kwanza.....

jengeni kwanza hiyo nairobi bado sana,,,,,yaani km chache tu unakutana na vichaka plot




View attachment 1680924View attachment 1680929View attachment 1680930View attachment 1680931View attachment 1680932View attachment 1680933View attachment 1680934View attachment 1680935View attachment 1680936
Kujitetea ni ruksa but haitaondoa ukweli kwamba nusu ya Dar ni vijiji. Hizo picha za Ruiru you can clearly see Luna hadi nyumba, tena za maana but kule kwenu ni nyasi na miti
 
Endeleeni kubaki na magofu ila Mwanza muiache kabisa, ipo ligi yake.

1. Electric train loading....

2. New modern airport

3. Cargo terminal kubwa kabisa


Lazima mkunye dafu mwaka huu
 
Back
Top Bottom