Zile nivitu viko tayari, nyie ndio mnaanza hata bado hamjafika popote...
Alafu mzee Mnf ,Mzizima zote zipo Posta...
Kijitonyama kuna sky tower U/c Ile ni floor 22 tu halina maajabu sana...pia kule morroco square ,ukipanda ubungo ndio kuna ppf tower itafika floor 35 sahv wapo 25 na itakua na meter 135 hivi....project zipo nyingi, siunaelewa tunajenga flyover na interchange simultaneously,SGR, Hatuna maneno nakwambia tutakutana kwenye angle tu,kwanza 2019 wakat sgr dar Moro ikifunguliwa lazima mseme ni ya kwenu ipo voi
as usually vile mnapenda kujikomba na vitu vya watu....wakati huo express way ya dar chalinze km100 itakuepo na interchange zakutosha...mtachomokea wapi?labda mroge