ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tofaut zetu zipo kwenye umiliki wa ardhi my friend tanzania land inamilikiwa na gvt while kenya land inamilikiwa na mtu binafsi na kitu kibaya zaidi kenya ardhi kubwa imeshikwa na watu wachache so demand ya land itakua kubwa na siku zote demand ikipanda lazma na price itapanda.....ndio economy inavosema sio mm....Unfortunately if you never knew, every kenyan at least male has land/ the parent has Land. It's only in Nairobi near the cbd where Land is extremelely expensive, reason why? Its big companies and investors that buy the land to set up their businesses.
Let me inform you that the value of land is an indication of how much potential that area is for business. You can personally question yourself if you can buy a 100million land without assurity of return on investment. That's how it works, the more expensive, the higher opportunities
So ndio maana unaona slums ni nyingi nairobi na zimebeba watu wengi kuliko uwezo wake
ni only two streets seen