Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini hamuwezi kulinganisha Mwanza na Mombasa. Hilo ndilo ukweli. Nyie hamna basis yoyote ya kulinganisha Mwanza na Mombasa. Kwenye Infrastructure pekee Mombasa inaipiga Mwanza vibaya sana. Angalau Nairobi na Dar tunaweza kuzilinganisha maana zinakaribiana kwa mambo mengi lakini Mwanza na Mombasa, hapana, hio haiwezekani.
Wacha ufala infrastructure ipi ya kujitamba Port Reitz Mombasa highway haina hata mwaka inamong'onyoka! Mwanza ina kila kitu cha kuzidi Mombasa! Tena superior infrstructure na hata SGR inajengwa tena ya umeme!
 
sasa unataka kuconpare dar na nairobi kwenye kujengeka...?


wacha ukichaa.......

sehemu ambazo hazijajengeka zipo na haziishi leo wala kesho.....we ulitaka jiji lote liwe na nyumba ...hiyo protocal umewah kuiona wapi
Sasa kama lile eneo mwenzenu ameconfirm is 35 kms from the CBD bado unataka tu tufananishe Dar na Nairobi? Huoni hats aibu? 35 kms from Nairobi and huwezipata sehemu iko wazi hivyo. Kama nadanganya prove me wrong
 
Sasa kama lile eneo mwenzenu ameconfirm is 35 kms from the CBD bado unataka tu tufananishe Dar na Nairobi? Huoni hats aibu? 35 kms from Nairobi and huwezipata sehemu iko wazi hivyo. Kama nadanganya prove me wrong
kwa hiyo kulingana na hizo km kwaakili yako hiyo ndiyo sehemu pekee ya iliyopo dar....?...
 
Wacha ufala infrastructure ipi ya kujitamba Port Reitz Mombasa highway haina hata mwaka inamong'onyoka! Mwanza ina kila kitu cha kuzidi Mombasa!
Wewe si ndio uliweka hapa video juzi kwamba bado mnajenga terminal ya airport ya Mwanza? Hio airport ya Mwanza kwa sasa inapokea abiria wangapi kwa mwaka? Tuanzie hapo kwanza. Maana airport ya Mombasa (Moi airport) ina one of the highest pax in East Africa.
 
Sasa kama lile eneo mwenzenu ameconfirm is 35 kms from the CBD bado unataka tu tufananishe Dar na Nairobi? Huoni hats aibu? 35 kms from Nairobi and huwezipata sehemu iko wazi hivyo. Kama nadanganya prove me wrong
Mwambie apost picha zingine 30-40km from Dar CBD tuone zinakaaje - na akumbuke Dar ipo pwani kwa hivo haispread direction zote kama Nairobi.
 
Wewe si ndio uliweka hapa video juzi kwamba bado mnajenga terminal ya airport ya Mwanza? Hio airport ya Mwanza kwa sasa inapokea abiria wangapi kwa mwaka? Tuanzie hapo kwanza. Maana airport ya Mombasa (Moi airport) ina one of the highest pax in East Africa.
Mombasa airport is the third largest in EAC.
 
Kawaida yake huyu bongolala. Anasema eti Mwanza inashinda Mombasa nikimuuliza kwa lipi ananiambia niangalie video. Huyu anapendanga sana ubishi za kijinga
Basi amekomalia hvyo vi video vyake yani ywaviona vya kinyamwezi kw akili zake..
 
Wacha ufala infrastructure ipi ya kujitamba Port Reitz Mombasa highway haina hata mwaka inamong'onyoka! Mwanza ina kila kitu cha kuzidi Mombasa! Tena superior infrstructure na hata SGR inajengwa tena ya umeme!
Hakuna kitu km port reitz highway in mombasa
 
MOMBASA hii😁
images - 2020-07-30T152039.525.jpeg
 
We are talking of the built-up area (metro) and you are talking of boundaries. Are you mad? So should we say Naivasha, with an area of 1, 685.4sq. km is bigger than Dar with an area of 1,590 sq. km?
na slums zimewekwa hapo metro!!!!


wacha kufananisha dsm na huo utoporo,hilo eneo unalopigia kelele ukiletewa video hapa utajidharau.
 
Usisahau pia Mombasa iko na largest port in EA
Ndio nashindwa Geza Ulole na wenzake wanapata wapi ujasiri wa kucompare Mwanza na Mombasa.
1. Mombasa has one of the biggest airports in East Africa in terms of passenger numbers
2. Mombasa has the biggest port in East Africa and top 5 biggest port in Africa
3. Mombasa has both metre-gauge and standard gauge railway.
e.t.c
 
Back
Top Bottom