Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lobby ya Nairobi Terminus haifikii hii hata robo! Nairobi terminus Imekaa kama warehouse! Dude lina Milango manual ya kusukuma! Njoo Dar SGR station uone milango yenye sensor ya kufunguka automatically!
hiyo ndiyo maana halisi ya treni ya umeme...

tupo vizuri
 
Hapo ndio huwa mnanishangaza sasa. Eti Kenya ikifanya kitu au kujenga kitu, it's not because of demand ila Tanzania ikifanya hivyo, it's because kuna mahitaji. Aya basi wewe niambie, hiyo mnayoplan kujenga Mwanza ni kwa sababu ya mahitaji ama?
yaah ni mahitaji hiyo sehemu ina deserve kujengwa hivyo siyo vichakani hapo.....
 
Jamaa anasema eti Kutoka mahali hiyo picha imepigwa hadi city center (posta) is 35 kms!! 😂 😂 From Nairobi to Rironi interchange is 52 kms using A1 (Waiyaki Way) but huwezipata sehemu inakaa hivyo. All that stretch is built up on both sides of the road. Dar is so overrated
32km siku hizi inasomeka 52km? 😅😅😅

Screenshot_20210117-091556.png
 
Hii imenishangaza sana. Yaani 35 km from Dar hakuna majumba yet Kenya 35 km from Nairobi kuna majumba na apartments za watu kuishi? Naongea kuhusu maeneo ya Juja na Thika. This is suprising. To make matters worse, ikumbukwe kwamba Dar can only expand in one direction in the inland direction. Dar haiwezi kuexpand towards the ocean so I expected Dar iwe ime-expand more than 60 kilometres inland. Nairobi inaweza kuexpand in all directions and ukienda 40 kilometres in all directions bado utapata majumba huko.
Cc kikihboy Geza Ulole The best 007 Venus Star
Mmmmh acha kujishaua hapa, unataka kutuaminisha nini sasa? Eti Hakuna nyumba? Punguza mihemko, tena hilo eneo lina mijumba ya kufa mtu na ni maeneo cool sana

Hizi sio nyumba?

Polish_20210117_092941615.png
 
Random road in Nairobi, In Dar, you must seek the major arteries to see this type of quality - and even most of the major arteries are lacking.

13000837_11363636113607069220911128815784585885546813766490291710784njpega86e1afbe7d4f9aeb52f5f8369cbdb56jpegjpegaa289dcd7c8d47f6a7c879855957a1bd_jpeg_jpege7ca110b2632e9b6fe48472f67028cf3
 
Hii imenishangaza sana. Yaani 35 km from Dar hakuna majumba yet Kenya 35 km from Nairobi kuna majumba na apartments za watu kuishi? Naongea kuhusu maeneo ya Juja na Thika. This is suprising. To make matters worse, ikumbukwe kwamba Dar can only expand in one direction in the inland direction. Dar haiwezi kuexpand towards the ocean so I expected Dar iwe ime-expand more than 60 kilometres inland. Nairobi inaweza kuexpand in all directions and ukienda 40 kilometres in all directions bado utapata majumba huko.
Cc kikihboy Geza Ulole The best 007 Venus Star
Alafu unaskia mtu anakwambia Dar ni kubwa kuliko Nairobi. Remember Dar is a coastal city. Ujenzi umespread half the directions - yani 180° Wakati Nairobi ni inland city, ujenzi umespread all directions, yani 360° .
 
Back
Top Bottom