Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz leo kama mbele
Screenshot_20210114-120127.jpg
 
Nani aliyesema ni super bridge, mbona unawatia wakandarasi maneno mdomoni mwao..

Jamaa anajifanya hajui maana ya super highway eti kisa kaiishi marekaniacha kuhalalisha upumbavu wewe..
Kwn wewe ndio wakwanza kwenda na kuishi hkoView attachment 1677179View attachment 1677180
Nani aliyesema ni super bridge, mbona unawatia wakandarasi maneno mdomoni mwao..

Jamaa anajifanya hajui maana ya super highway eti kisa kaiishi marekaniacha kuhalalisha upumbavu wewe..
Kwn wewe ndio wakwanza kwenda na kuishi hkoView attachment 1677179View attachment 1677180
Hii hapa “super bridge”
87CA9E26-0D8F-4F83-8ED7-7601E96C6CB0.jpeg

Mimi nimekupa mfano wa nchi ambayo highways kama Thika ni kitu cha kawaida lakini hawaiti zao “superhighway”
 
Nimeishi Marekani miaka mingi sana na nikwambie tu kuwa nimeona highways nyingi bora kuliko hiyo Thika lakini hakuna hata moja iliyopewa jina linaloanza na “super” Hata miji yenye extensive highways and freeways kama Los Angeles Hamna jina la super highway. Ni ninyi wapumbavu mnaojifanya mko juu kwa vitu vya kawaida sana. Hata ile thread ya Likoni bridge aliyeifungua Alisema “super bridge” sasa mimi nashangaa wenye suspension/ cable-stayed bridges zenye urefu na gharama kubwa zaidi wanayaitaje madaraja yao?
Alafu ukumbuke pia freeway ni sawa na super highway, we unapagawa na majina mzee baba
 
Hii hapa “super bridge”
View attachment 1677192
Mimi nimekupa mfano wa nchi ambayo highways kama Thika ni kitu cha kawaida lakini hawaiti zao “superhighway”
Marekani wanaita freeways ambayo ni sawa na super highway au expressway..
Najua hapo lugha ndio inakukanganya ndio manake wamarekani wakifika uingereza wanakorogeka..

Alafu hyo picha sio ya bridge ya kenya
 
Marekani wanaita freeways ambayo ni sawa na super highway au expressway..
Najua hapo lugha ndio inakukanganya ndio manake wamarekani wakifika uingereza wanakorogeka..

Alafu hyo picha sio ya bridge ya kenya
What? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo unadhani “highway” haitumiki marekani? Wewe ni mjinga! Mimi sijakuonyesha picha! Nimekuonyesha neno “super bridge”
 
Tusemeni ukweli hii terminal haina muonekano wa public structure at all kama mtu alishaingia Kilimanjaro kempisk hotel interior design yake ipo exactly kama hii terminal

Hii terminal unaweza sema ni 7 star hotel, ipo so luxurious and unique to the extent hata naogopa kuongelea how we gonna keep this beauty live long
mkuu hiyo ni zaidi ya terminal......
 
. Yo what's good my beautiful people .? Kenyans ar u there.? Upcoming East Africa's giant .. by the way hiyo sgr terminus ya dsm hauwezi kukutananayo popote pale EA


uhunye mda huu anatamani stations zao na reli yao yote zibomolewe na zijengwe upya ili kuzifunika za Tanzania.
this is what we call the VALUE FOR MONEY!
 
Uhuru Kenyatta amiini macho yake🙂👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20210114-132715_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210114-132715_DuckDuckGo.jpg
    27.9 KB · Views: 5
uhunye mda huu anatamani stations zao na reli yao yote zibomolewe na zijengwe upya ili kuzifunika za Tanzania.
this is what we call the VALUE FOR MONEY!
🤣🤣🤣🤣Nkileta interior za SGR Kenya najua itakaa kimya
 
Back
Top Bottom