The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Ni vitasa mpk wakohoe, hii speed Tony254 huwa anaiita speed of lightTz leo kama mbele View attachment 1677186




Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vitasa mpk wakohoe, hii speed Tony254 huwa anaiita speed of lightTz leo kama mbele View attachment 1677186




Zaidi ya mwangaNi vitasa mpk wakohoe, hii speed Tony254 huwa anaiita speed of light
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechukua saa hii zen ukaipiga make up kabla hujaipost humu au sio, tangu lini Thika road ikawa safi






Tuliwaambia huwa hatukosei, wasubiri mda wakabishauhunye mda huu anatamani stations zao na reli yao yote zibomolewe na zijengwe upya ili kuzifunika za Tanzania.
this is what we call the VALUE FOR MONEY!







Zilete🤣🤣🤣🤣Nkileta interior za SGR Kenya najua itakaa kimya
Mbn kama huelewek ww...au unauchiz...siulijifanya kana kwamba hakuna 7 stars?Sasa unaweza kulinganisha hilo kopo la uji hapo Dar na hizo hoteli ulizotaja?



Waje kuona GEM 💎, precious one.Wakunya walio ipotezea ile video bado ili zimwi linawafwata ukuukuView attachment 1677297View attachment 1677299View attachment 1677300View attachment 1677302View attachment 1677303View attachment 1677305View attachment 1677307View attachment 1677311
Hadi Maalim Seif
Hebu jaribu uone kama hapa utatoka 🤣🤣🤣👇👇👇🤣🤣🤣🤣Nkileta interior za SGR Kenya najua itakaa kimya
Una exposure ndogo sana kijana ila wakenya na modernity wapi na wapi?Wewe hujui unachozungumzia. Eti seven star. Kuna hoteli yoyote ya 7-star duniani? Nitajie tu hata moja.
Nyinyi ni washamba. Kwani hamjawahi kuona escalators? Escalators ziko hata kwenye SGR stations za Kenya.
Hebu jaribu uone kama hapa utatoka 🤣🤣🤣👇👇👇
Miradi mingi inayo endelea Tanzania zaidi ya 70% inajengwa na wachinaHivi wachina wameshakua maswahiba ghafla na wakati phase one mliwakataa
Kenya hakuna stesheni mbovu
Quite basic Hakuna maajabu yoyote hapo, Hakuna uniqueness yoyoteNtakuanza na tatu pekee, baadaye talatea nyingi
View attachment 1677377View attachment 1677378View attachment 1677379
🤣🤣🤣🤣Ameanza kulialia na yao ndiyo inayokaa tu basic,like a mall or a bankQuite basic Hakuna maajabu yoyote hapo, Hakuna uniqueness yoyote