Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Elfu kumi kw bara la asia ni jambo la kawaida sana inaonyesha, ndio manake zi tele..
Kwhyo usilinganishe uchumi wa asia unavyokwenda na afrika, afrika km una noti ya elfu kumi wewe huna tofauti na mini-zimbabwe[emoji23]
Akili ndogo shidaa snas
 
Miundombinu yao ndio babkubwa ukanda Huu, lakini haitatui matatizo yao ya kila siku Sasa hawa kama watu wajinga ni nn
Why do you bongolalas love sensationalizing simple accidents in Kenya? Why all this obsession?
 
Sababu zetu zinaendana ndio manake tunawambia tupo juu yenu..
Ila kw zambia ipo juu kw factors tofauti km vile kuwait kw dollar ya marekani..

Kwhyo nyie sababu zenu kuwa weak ipo hapo nilipokuwekea, yani ni kufeli kwenu[emoji23][emoji23]
Wewe ndio wale mademu wanaolazimisha mwanaume atafune jicho kwa kutaka kuwaaminisha kuwa ndio mapenzi, wataendelea kukupiga mbupu na kukuacha mpaka utakapobadili hii tabia
 
Umasikini wa kutisha??
Kila mtu anajuaa umasikini wa kutisha inapatikana wapi ukanda huu

View attachment 1676209
Ukinionesha ufukara km huu Bongo nahama jamii forums, eti utaskia mbn unakimbilia slums za Nairobi na Turkana as if hazipo Kenya [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
JamiiForums1872384158.jpg
View attachment 1676253
JamiiForums-1671528194.jpg
JamiiForums900870149.jpg
JamiiForums-1300251258.jpg
Screenshot_20201230-104636.jpg
 
Unajua kwnn currency ya zambia ipo strong, kuna factors nyingi sana za currency kuwa weak au strong..

Na hzo factors hunda ki continent, angalia kwanza historia yao hao majamaa kuhusu currency zao then urudi hapa..

Lkn kw tanzania ni different story, tsh ni kuporomoka inaporomoka
Ww ni kiazi ...apo ndio umeongea nn?
 
Back
Top Bottom