komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwn unapoambiwa noti haitumiki tena wewe huaga unaelewa nnKwahiyo hiyo note imechapwa sababu ya pambo? Unajielewa kweli?
Kwn unapoambiwa noti haitumiki tena wewe huaga unaelewa nnKwahiyo hiyo note imechapwa sababu ya pambo? Unajielewa kweli?
Jibu lako hili hapa![]()















Ww demu wacha ufala unaambiwa pesa ya Zambia na mozambique zina thamani kuliko yenu lkn mmezizidi gdp hzo nchi haya tuambie 7bu.
Mm sisomi huu upumbavu wako, kila siku mnasema kwmb pesa yenu ina thamani kuliko yetu na kwmb ndiyo kigezo mpo juu, ss hebu niambie nyinyi na Zambia vp? Nijibu hapo tu usiniletee upumbavu tafadhali.Soma hapo kidogo ndiposa utaelewa kwnn kuna nchi ndogo ambazo currency ipo strong na kubwa zingine ambazo currency ipo weak..
Yani tangu mapema najaribu kuwaeleza currrncy hata mazingira pia huchangia, nyie bado mumekomaa na picha za minoti..
Sababu zetu zinaendana ndio manake tunawambia tupo juu yenu..Mm sisomi huu upumbavu wako, kila siku mnasema kwmb pesa yenu ina thamani kuliko yetu na kwmb ndiyo kigezo mpo juu, ss hebu niambie nyinyi na Zambia vp? Nijibu hapo tu usiniletee upumbavu tafadhali.


Kwenda huko, Huna lolote.Unajua kwnn currency ya zambia ipo strong, kuna factors nyingi sana za currency kuwa weak au strong..
Na hzo factors hunda ki continent, angalia kwanza historia yao hao majamaa kuhusu currency zao then urudi hapa..
Lkn kw tanzania ni different story, tsh ni kuporomoka inaporomoka
LOL kwani sio za Africa ulizotaka? Ulisema nchi za Africa zenye 10k notes ni hovyo, sasa kumbe hao ni wa hovyo ila wana factors nyingine sio? Utatapatapa kama kichaa mnoJibu lako hili hapa![]()
Leta ushahidi kwamba haitumiki tena mbona simple tu, kama note imeondolewa kwenye mzunguko lazima central bank ya nchi husika itoe notice kwenye gazeti la serikali, hicho ndio nakitakaKwn unapoambiwa noti haitumiki tena wewe huaga unaelewa nn
Nilikuambia wewe ndio kilaza Kenya nzima, thank you for proving me right 😅Sababu zetu zinaendana ndio manake tunawambia tupo juu yenu..
Ila kw zambia ipo juu kw factors tofauti km vile kuwait kw dollar ya marekani..
Kwhyo nyie sababu zenu kuwa weak ipo hapo nilipokuwekea, yani ni kufeli kwenu![]()
lilikuwa linasafirisha mahindi kutoka Tanzania!
gari jingine hili linatumbukia likoni
Sasa mbona hutaki kukubali wa kenya kwa Currency yenu mnachoweza kula ni chapati na maharage yasiyoungwa kwa KSH 80 na Hamuwezi kula ugali nyama au samaki kwa currency yenu...Soma hapo kidogo ndiposa utaelewa kwnn kuna nchi ndogo ambazo currency ipo strong na kubwa zingine ambazo currency ipo weak..
Yani tangu mapema najaribu kuwaeleza currrncy hata mazingira pia huchangia, nyie bado mumekomaa na picha za minoti..
Miundombinu yao ndio babkubwa ukanda Huu, lakini haitatui matatizo yao ya kila siku Sasa hawa kama watu wajinga ni nn