The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Tukiwaambia hawana engineers wanabisha, lkn hata wakiwapa foreigners wawajengee huwa wanapigwa kwasababu ya wizi wa leaders, yn Kunyaland ni totally failed stateMiundombinu yao ndio babkubwa ukanda Huu, lakini haitatui matatizo yao ya kila siku Sasa hawa kama watu wajinga ni nn








