Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo nchi ulizozitaja mfano Ghana co failed state, Ethiopia japo nayo ni failed km nyie but tunaweza kuongea nao cz nao angalau wanafanya miradi km yetu, electric sgr, hydropower plant etc ila nyie sio size yetu sema tunawaliwaza tu
Tatizo hzo nchi zote wanatii kwetu
 
If this make you happy hatuna shida.
But your stupidity killing you.
Hujui 1Ksh = 10 south Korean Won!?
Je South Korea na Kenya wapi na wapi. You need to have exposure kidogo.
View attachment 1675528
Your currency is so weak they recommended DOLLARISATION
EE9A8D90-F28F-4D38-9BF5-5728ABF6888E.jpeg
4700D18B-86E3-4A57-B65E-048A6BAE454F.jpeg
 
Hapa ndo wakenya huwa wananiacha hoimfano mwingine Luxembourg franc thamani yake iko Chini ya dollar lakin ni inchi tajiri kushinda America sasa mnaweza mkawa na pesa kubwa lakin ni useless kwa mwanachi wa kawaida,mfano hiyo buku Moja ya Kenya unaweza ukanunua nini kwenye supermarket zenu? Naivas,quickmat,chandaranas,eastmat? Tanzania sio level yenu kila siku nawambia,hizi jeuri na dharau zitakuja kuisha very soon Tanzania tunasonga mbwele
Unalinganisha currency za asia na afrika
Akili zenu bado mgando sana, yani asia na afrika ni sehemu mbili tofauti sana yani wala hatuingiliana kivyovyote vile...

Twendeni kikanda km vile EA, tunaingilia vizuri tu
Mfano mwngine ni north america, yani wale wajuba pia wanaingiliana vizuri..

Sio eti unalinganisha canada na france
 
Unalinganisha currency za asia na afrika
Akili zenu bado mgando sana, yani asia na afrika ni sehemu mbili tofauti sana yani wala hatuingiliana kivyovyote vile...

Twendeni kikanda km vile EA, tunaingilia vizuri tu
Mfano mwngine ni north america, yani wale wajuba pia wanaingiliana vizuri..

Sio eti unalinganisha canada na france
point yako ni ipi sasa hapa kwa mfano.
 
Unalinganisha currency za asia na afrika
Akili zenu bado mgando sana, yani asia na afrika ni sehemu mbili tofauti sana yani wala hatuingiliana kivyovyote vile...

Twendeni kikanda km vile EA, tunaingilia vizuri tu
Mfano mwngine ni north america, yani wale wajuba pia wanaingiliana vizuri..

Sio eti unalinganisha canada na france
Ndio mnaambiwa Kenya bado Sana tukiweka vitu kwenye uhalisia unakuta nyie ni watu maneno mengi lakin sufuri kwenye vitendo muulize mwenzako mwenye kulinganisha sarafu ya Zimbabwe na bongo alafu upate jibu ya kwa nini tumetoa huo mfano 🙂
 
Is your country on inflation or are competing with ZIMBABWE,too many zeros on your currency foolView attachment 1675524View attachment 1675525
Hapo je napo economy yenu ipo juu kuliko hawa? Hayo makaratasi yenu hayana maana sana kama purchasing power yake ni ndogo. Ushamba na ujinga tu umekujaa kichwani halafu eti mnajifanya mpo educated. What a pit!

Japanese yen2.jpg


Japanese yen.jpg
 
Unalinganisha currency za asia na afrika
Akili zenu bado mgando sana, yani asia na afrika ni sehemu mbili tofauti sana yani wala hatuingiliana kivyovyote vile...

Twendeni kikanda km vile EA, tunaingilia vizuri tu
Mfano mwngine ni north america, yani wale wajuba pia wanaingiliana vizuri..

Sio eti unalinganisha canada na france
Inaonekana huko shuleni ulikuwa unakwenda kusomea ujinga tu. Hivi point hapa ni ukanda au point ni purchase power ya currency?
 
Kwenye world's market, bei ya zagamba wa Kikenya ipo juu kuliko gold sababu anafanya kazi kama farasi alimradi umpe uhakika wa lishe 🤣🤣

Wakenya kumbe mnapatikana kwa bei cheap tu sasa mbona watu wa Burundi wanakula wenyewe tu huku? Sababu wao ndio huajiriwa kwenye mashamba ya watanzania mikoa ya Katavi, Geita, Kigoma, Kagera wakati wakenya pia mpo 🤣🤣🤣

Njooni hata sisi watanzania tuna uchumi wa kuwanunua 😅😅
We got unbeatable prices
View attachment 1675309
Wakenya wengi sana wanakimbia nchi yao maana wazungu na wachina wamewanyang'anya jobs na business
 
Inaonekana huko shuleni ulikuwa unakwenda kusomea ujinga tu. Hivi point hapa ni ukanda au point ni purchase power ya currency?
Mazingira ya asia na afrika ni tofauti mzee baba, hapa tunaongelea afrika sana sana EA yani tunaendana karibia kila kitu..

We unatuletea wajapan hapa
 
Back
Top Bottom