Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hq

Hapo juu nafasi ya brt ipo kabisaa mki plan mapema mtaweza majirani wetuhatuna kinyongo tunawapenda bado
Hehehehee brt walishakosea labda wajenge BRT ushagoo but co metropolis areas, labda wafumue fumue miundombinu yote ya kwanza wajenge upya, sisi kwetu mlikuwa mnaona serikali mbn haieleweki unakuta road kulia road kushoto katikati bonge la eneo tulikuwa hatujui kumbe zilikuwa plan za miaka 200 ijayo

Ss wao baada ya kuona brt system haiwezekani ndo GoK ikaona izuge na mitumba ili waonekane wanaenda sambamba na Tz cz kelele za raia zilizidi, yn imefikia kipindi GoK inafanya miradi isiyokuwepo kwenye manifesto ya jubilee but waonekane wanaenda sambamba na Tz

Eti nao wameanza kujenga madaraja wkt sio kipaumbele chao, heheheee Magu huyu anaharibu kweli deals za viongozi wa kiafrika mana wanaonekana hawafanyi kazi
 
Hehehehee brt walishakosea labda wajenge BRT ushagoo but co metropolis areas, labda wafumue fumue miundombinu yote ya kwanza wajenge upya, sisi kwetu mlikuwa mnaona serikali mbn haieleweki unakuta road kulia road kushoto katikati bonge la eneo tulikuwa hatujui kumbe zilikuwa plan za miaka 200 ijayo

Ss wao baada ya kuona brt system haiwezekani ndo GoK ikaona izuge na mitumba ili waonekane wanaenda sambamba na Tz cz kelele za raia zilizidi, yn imefikia kipindi GoK inafanya miradi isiyokuwepo kwenye manifesto ya jubilee but waonekane wanaenda sambamba na Tz

Eti nao wameanza kujenga madaraja wkt sio kipaumbele chao, heheheee Magu huyu anaharibu kweli deals za viongozi wa kiafrika mana wanaonekana hawafanyi kazi
Mpaka inatia huruma usafiri wa Nairobi ni wa shida kiongozi kuna kipindi tulikua tunatoka mtaa mmoja uitwao Eastleigh tukielekea odeon cinema Nairobi sehemu wanapo bebea umbali wake ni kama kutoka mawasiliano mpaka Tabata camp Ila nauli ilikua ndefu kisa mvua inanyesha,hakuna mfumo Wala utaratibu kila mtu anapandisha nauli anavo kuskia🙂
 
===
Poverty rate inazungumza zaidi juu ya DAR na NAI.

KENYA, ebu jikague mnakwama wapi.

Wazee wa statistics wameipita hii post kama hawaioni vile: Poverty Rate by Country 2020
1610397070589.png

Tz Poverty Rate.png


Ke Poverty Rate.png
 
Hehehehee brt walishakosea labda wajenge BRT ushagoo but co metropolis areas, labda wafumue fumue miundombinu yote ya kwanza wajenge upya, sisi kwetu mlikuwa mnaona serikali mbn haieleweki unakuta road kulia road kushoto katikati bonge la eneo tulikuwa hatujui kumbe zilikuwa plan za miaka 200 ijayo

Ss wao baada ya kuona brt system haiwezekani ndo GoK ikaona izuge na mitumba ili waonekane wanaenda sambamba na Tz cz kelele za raia zilizidi, yn imefikia kipindi GoK inafanya miradi isiyokuwepo kwenye manifesto ya jubilee but waonekane wanaenda sambamba na Tz

Eti nao wameanza kujenga madaraja wkt sio kipaumbele chao, heheheee Magu huyu anaharibu kweli deals za viongozi wa kiafrika mana wanaonekana hawafanyi kazi
Kenya madaraja tulianza kujenga kitambo sana
Nyie km mumeanza karne hii poleni sana
 
Kwani ni uongo? Sisi tuna business districts tatu na nyie mna moja. Na kama unapinga nipe majina ya eneo tatu za Dar ambazo zina skyscrappers nyingi. Najua utaniletea zile glass tatu za bluu pekee
Unapokuja kwenye suala la concrete jungle dar iache bro sio size yenu kabisa 😅😅
 
Ngoja nizame tena chimbo mana kila nikiingia nakutana na kituko from failed state, raha sn yn habari za Tz ni za maendeleo ila za failed state ni za maendeleo zaidi
 
===
Poverty rate inazungumza zaidi juu ya DAR na NAI.

KENYA, ebu jikague mnakwama wapi.
Mbona huaga mnaichukia world bank sana inapowaeka pabaya
Hadi mnakimbilia vi site uchwara..
 
Ndo uzuri wa apartments km hz yn ghorofa moja zinakaa familia kibao ambazo kwa kawaida zingejaza uchafu kwa ground.
Hahahaa!!leo hivi imekuaje, si mumesema nyien mna viwanja hzo appartments hamuishi wenyewe mnapenda kujijengea

Kumbe mnazitamani lkn investors ndio hamna, haya serekali wamewajengea sasa
 
Nimekuja kungundua kitu kimoja,Tuwache kulinganisha Dar na Nairobi,sababu dar ipo level yake ya kipekee amabayo ni ya juu🙂tunaidhalililasha Nairobi Sana,maana mji mkuu wa Kenya upo disorganized, dirty,poor planned, overcrowded,cases za insecurity ziko juu,makao makuu ya watu homeless A.K.A familia za mitaa chokoraa Yani waulize wakenya waliomo humu ndani kama wanaweza wakanunua hata juice,wakanywa bila usumbufu wa street children omba omba🙂 upande mwingine Dar is well planned ina grow kila siku,clean,modern,safe,organised etc🙂
 
Back
Top Bottom