tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Sioni tower mm,nyie ndio mmeanzisha maneno ya khanga ooh Dar tower tatu tu ooh sijui nn wewe ukiangalia hapo unaona nn?kama hapo waziona tower hapa zipo ngap
Sioni tower mm,nyie ndio mmeanzisha maneno ya khanga ooh Dar tower tatu tu ooh sijui nn wewe ukiangalia hapo unaona nn?kama hapo waziona tower hapa zipo ngap
Insecurity hii hapa, aibu snNimekuja kungundua kitu kimoja,Tuwache kulinganisha Dar na Nairobi,sababu dar ipo level yake ya kipekee amabayo ni ya juutunaidhalililasha Nairobi Sana,maana mji mkuu wa Kenya upo disorganized, dirty,poor planned, overcrowded,cases za insecurity ziko juu,makao makuu ya watu homeless A.K.A familia za mitaa chokoraa Yani waulize wakenya waliomo humu ndani kama wanaweza wakanunua hata juice,wakanywa bila usumbufu wa street children omba omba
upande mwingine Dar is well planned ina grow kila siku,clean,modern,safe,organised etc
![]()








Sasa mbona unasisitiza ni vichakani wakati hata hujakanyaga huko. Kama hiyo ya Suswa ni banda ya kuchunia ngozi ya ng'ombe, hii yenu tataitaje?
View attachment 1675105View attachment 1675108
Density gani hyo, lete aerial view ya upanga ..Umekasirikasiku mukisogelea density ya upanga unitag mm
Kwani hii huitaki nijibu basi 🤣🤣Density gani hyo, lete aerial view ya upanga ..
Haswaa Huyu si kdf mlendalenda atakuwa al shaabab!Huyo Hawezi kuwa among the Lazy Navy of kdf.
Mkuu siyo kwamba hawaoni hizo towers nyingine bali wanazipenda sana hizi towers 3 kutokana na design yake kuwa nzuri na ziko very colorful. Na kama hizi tower zingekuwa Nairobi amini nakuambia wangekuwa wanazipost humu kila siku toka asubuhi hadi jioni. na ungesikia wakitamba kwamba "The best colorful towers in Africa".Sioni tower mm,nyie ndio mmeanzisha maneno ya khanga ooh Dar tower tatu tu ooh sijui nn wewe ukiangalia hapo unaona nn?kama hapo waziona tower hapa zipo ngapView attachment 1675182
bila kusahau wangeziongeza na minara juuMkuu siyo kwamba hawaoni hizo towers nyingine bali wanazipenda sana hizi towers 3 kutokana na design yake kuwa nzuri na ziko very colorful. Na kama hizi tower zingekuwa Nairobi amini nakuambia wangekuwa wanazipost humu kila siku toka asubuhi hadi jioni. na ungesikia wakitamba kwamba "The best colorful towers in Africa".


Tanzania imeamua kuwekeza kwenye miradi inayogusa watu wengi... 2025 Tanzania itakuwa ndoto ya Kila mtu ukanda huuUkiwaambia hii ni magomeni mikumi ni portion iliondani ya magomeni wanaanza kuliaView attachment 1675228View attachment 1675229View attachment 1675230View attachment 1675231View attachment 1675232View attachment 1675233View attachment 1675234View attachment 1675235View attachment 1675236View attachment 1675237