Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee nataka unionyesha neno "paved" maana sijaiona. Kuna aina nyingi za barabara ikiwemo murram road, bitumen na kadhalika. Hio 80k ni mchanganyiko wa murram na bitumen/ asphalt. Wamesema tu 80k of road, hawajasema 80k of paved road.
Lungalunga Border to Mbamba Bay 1,457km
Screenshot_20210111-115456.png
 
Mzee nataka unionyesha neno "paved" maana sijaiona. Kuna aina nyingi za barabara ikiwemo murram road, bitumen na kadhalika. Hio 80k ni mchanganyiko wa murram na bitumen/ asphalt. Wamesema tu 80k of road, hawajasema 80k of paved road.
Kwenye picture wameweka barabara ya aina gani?

Jubilee itawadanganya ninyi lakini sio watanzania 😅😅😅
 
kwahiyo roads kwenu humaanisha pia not paved? basi kwenye hiyo 9,000 km kuna gravel roads pia!
Wewe sijui kama ulienda shule. Yaani wao wamesema 80k of roads halafu watanzania slow learners wanaanza kudanganya kuwa KNBS imesema 80k of paved roads. Badilikeni. Hamuelekei kuzuri. Kudanganya kitu ambacho knbs haijasema sio jambo nzuri. Hio ni tabia ya uhuni.
Halafu tukija kwenye swali lako la 9000 km, inategemea kama walitumia neno "paved" au la. Badilikeni majirani
 
Kwenye picture wameweka barabara ya aina gani?

Jubilee itawadanganya ninyi lakini sio watanzania
Umeambiwa uonyeshe neno paved
Kwa sababu hata nyie mnapenda kutumia sgr ya kenya katika ishu zenu za sgr jiwe..
Tatizo barabra iliyowekwa ni ya kwetu
 
Kwhyo huaga mnanunua magari kenya siku hizi
Hata scannia teargas hakukosea kusema mnachukua kenya pia..

Teargass
Hiyo ni showroom yeyote anaweza kununua mahali popote, lkn sio upuuzi mnaosema eti mnatengeneza nyinyi zen mtuuzie sisi never ever under the sun.

Kwnz ma engineer hamna kutuzd iweje mtujengee magari sisi wenye quality engineers?

Hiyo showroom haina shida cz zinatenezwa na wenye akili so tutanunua tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20210111-120113_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210111-120113_DuckDuckGo.jpg
    117.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20210111-120132_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210111-120132_DuckDuckGo.jpg
    172.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20210111-120058_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210111-120058_DuckDuckGo.jpg
    111.4 KB · Views: 6
Hiyo ni showroom yeyote anaweza kununua mahali popote, lkn sio upuuzi mnaosema eti mnatengeneza nyinyi zen mtuuzie sisi never ever under the sun.

Kwnz ma engineer hamna kutuzd iweje mtujengee magari sisi wenye quality engineers?

Hiyo showroom haina shida cz zinatenezwa na wenye akili so tutanunua tu.
Heheheh!!kwn nyie hamna shiwroom hko bongo, kiukwel kenya haikwepeki lazima mje mnunue magari huku


EA giant.alafu km nyingi ni za tz mbona hawajafungua tawi dar, ama wananua siri
 
Hiyo ni showroom yeyote anaweza kununua mahali popote, lkn sio upuuzi mnaosema eti mnatengeneza nyinyi zen mtuuzie sisi never ever under the sun.

Kwnz ma engineer hamna kutuzd iweje mtujengee magari sisi wenye quality engineers?​


Hiyo showroom haina shida cz zinatenezwa na wenye akili so tutanunua tu.
The most foolish person in this forum, very lazy thinking.
 
Nakuambia angalia show room prices na uone idadi ya gari zilizouzwa, hyo bil5kshs ni accumulation for 7yrs, na I bet hzo gari nying zimenunuliwa Tz cz huwa naziona porsche nyingi huku.View attachment 1674462View attachment 1674463
Wacha mchezo. Kenya posche zimejaa kama njugu. Hio ndio maana posche iliamua kufungua show room Kenya na sio Tanzania kwa sababu tuna purchasing power. Nyinyi inabidi mje hadi Kenya kununua posche. Hamjafika level ya kuwa na show room ya posche.
 
Back
Top Bottom