Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunajenga barabara, tunajenga reli, tunajenga madaraja, tunajenga meli, tunajenga shule, tunajenga, hospitali, tunajenga visima vikubwa vya maji, tunajenga maghara makubwa ya chakula, tunajenga bus terminals, tunajenga Abattors, tunajenga stadiums, tunajenga ports, tunajenga Airports vyote hivyo kwa wakati mmoja na ndiyo maana haijashangaza kuongoza East and Central Africa ktk gharama ya miradi, yn sisi ndiyo baba lao hapa EA mtake msitake, mpende msipende
Asante kwa kuongea ujinga
 
Sasa kwani si hiyo video inaonesha empty seats kibao tu, hata terminals zinaonekana tupu kabisa

Ninyi kubalini tu kusafiri sio culture yenu, mtanzania hawezi kukaa miezi mitatu bila kusafiri, subiri hiyo SGR ianze uone itakavyochangamkiwa
Yani hawa ni chenga sn
 
Kenya ina idadi kubwa ya homeless people kuliko nchi yoyote Africa
Hawa watu wanatia huruma sana

View attachment 1673674View attachment 1673675
90% of homeless people in Kenya are Tanzanians


Tanzanian beggars floods the Street of Kisumu
 
90% of homeless people in Kenya are Tanzanians


Tanzanian beggars floods the Street of Kisumu
Hajawahi tokea mtanzania atakaeacha hali ya maisha ya Tanzania aende Kenya, never ever 😁😁😁 wakenya wenzenu hao
 
Usionge ujinga km huelew lugha kaa kumyaaa mbn kaongea vitu vykawaid dogo...akil ndog bhn
Hahaha!!ukweli mchungu sana jamani
We kwanza hyo lunatic aliyoiongelea hapo ni gani au ni lugha ndio hukuelewa
 
Kwani Ni footbridge 😂😂
Umekasirika au ???🤣🤣🤣🤣 Au unafananisha na footbridge hii👇👇
A54E5879-A906-4C6A-BB0C-6DAA70651838.jpeg
3D160578-0006-4910-AD64-2A552CBD4278.png
 
Sasa kwani si hiyo video inaonesha empty seats kibao tu, hata terminals zinaonekana tupu kabisa

Ninyi kubalini tu kusafiri sio culture yenu, mtanzania hawezi kukaa miezi mitatu bila kusafiri, subiri hiyo SGR ianze uone itakavyochangamkiwa
Labda unambie wachaga kisha wao ni vile wanaenda kwao kw ajili ya siku kuu
Nyie wengine hyo siyo tamaduni yenu..

Wakenya karibia kila likizo jamaa wanasafiri mashinani
 
Back
Top Bottom