Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Hahahaha washatepeta wakati ngoma bado mbichi 😅😅😅Tulisema humu kwmb hii nchi huwa tunakaa kmy tu ila tukiamua hakuna nchi yoyote inatukaribia EA yn kifupi tuna zi mask nchi zote za EA![]()
Hahahaha washatepeta wakati ngoma bado mbichi 😅😅😅Tulisema humu kwmb hii nchi huwa tunakaa kmy tu ila tukiamua hakuna nchi yoyote inatukaribia EA yn kifupi tuna zi mask nchi zote za EA![]()
Unanitisha sasa sie tulio nje ya C family inakuaje? Python nayo haiiwezi C family?Ni vizuri mno. Maana ukiangalia most of languages competitor wa C family wanaisha.
Majamaa wamelia kweli kweliMy God. Hio Ngong market ni kali sana. Sikujua Kenya tuna markets kali namna hii. I have learnt alot today. Ndio maana hawa Malazy wamekasirika hivyo leo



Ngoma ya render ama?Hahahaha washatepeta wakati ngoma bado mbichi![]()


Nyinyi mtabaki na maneno tu lakini kwa ground you will be in the level of Somalia


But honestly sikujua Kenya tuko juu hivyo. Kwanza nimeona hio Kongowea market mpaka nikashangaa. Na Ngong market pia sio mchezo. Ni vile tu huwa sina muda wa kusearch hizi vitu. But thanks kwa kutuchanua.Majamaa wamelia kweli kweli![]()
my plan ni kuanzia March kuanza hii kitu!Tuta saidiana.
hii si level yao!Acha kutupigia kelele hapa na computer packaging![]()
Python nilipata project moja kwa namna fulani Python ipo nje kidogo. But kama upo na basics nzuri za programming ni rahisi tu kufanya C family.Unanitisha sasa sie tulio nje ya C family inakuaje? Python nayo haiiwezi C family?
Yah! Ndio Kazi yangu hiyo ya software development. Nina experience ya muda mrefu. Tutakuwa pamoja.my plan ni kuanzia March kuanza hii kitu!
Most people are usually not interested in them that's why you find few people talking about markets.But honestly sikujua Kenya tuko juu hivyo. Kwanza nimeona hio Kongowea market mpaka nikashangaa. Na Ngong market pia sio mchezo. Ni vile tu huwa sina muda wa kusearch hizi vitu. But thanks kwa kutuchanua.
VB pia mi nipo huko! Na-base sana kwenye data analytics though!Python nilipata project moja kwa namna fulani Python ipo nje kidogo. But kama upo na basics nzuri za programming ni rahisi tu kufanya C family.
By the way mimi huwa ninafanya na VB.
Python ni nzuri sana kwenye artificial intelligence kwenye data miming.
Kama unataka ku base sana kwenye data miming Python is good.
Hata mi nilikuwa sijuiTeargass ni KE?![]()
Wewe endelea ku deal na bacteria sisi tupo kwenye technology.Neither do I want to be associated with it![]()
Wow! VB ni mlo wangu wa kila siku.VB pia mi nipo huko! Na-base sana kwenye data analytics!
Huko sijafika bado ila it is my wishes!Kwenye industry ya Technology inakulazimu usome professions karibia zote. Ukiwa software engineer utasoma kila kitu na utakijua.
Another post another repetition




