Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Majamaa wameanza kupost mapicha za soko after kuona nimepost za Kenya. Bahati mbaya wamepata kama mzigo umekuwa mzito kwao[emoji1787][emoji23][emoji23]
Nimeona imewauma sana. Nimejaribu kutafuta post yako but sijaiona. Unaweza kunipatia number ya post yako ndio niende kuziangalia coz hata mimi sijafuatilia sana mambo ya soko ya Kenya au Tanzania
 
Another post another render[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] Hata sisi pia tuko na renders nyingi sana[emoji1787][emoji23][emoji1787]
Wacheni kurudia. Kila mtu anapost Njombe market. Wacheni ujinga. Post markets tofauti tofauti
Endeleeni kupiga soga sisi tunaendelea kuonesha ubabe wetu kwenye hii sekta pia, tulivyowanyoosha kwenye Govt schools hii nayo hamuwezi gusa.

Ona market ndani ya Sumbawanga (miongoni mwa mji wa mwisho kabisa Kwa maendeleo Tz) [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Screenshot_20210109-110330.jpg
Screenshot_20210109-110414.jpg
 
Umefuatilia sn tu wacha kumpa moyo, mambo yote yapo hadharani na hii co mara ya kwnz ku battle markets ila huyo ndg yako huwa hakubali kushindwa, huwa anaona km mzigo wote wa maumivu kabeba pekeake Kenya nzima [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio kwamba hajafuatulia ni wanaogopana kukosoana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna shida as long as sio post ya mtu mmoja twende kazi [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji204][emoji204]
Kazi gani? Ya kurudia mapicha?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Sio kwamba hajafuatulia ni wanaogopana kukosoana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huwa sishindi kwenye uzi huu. Sina huo muda wa kupoteza. Uzi huu huwa mrefu na hauna mwanzo wala mwisho. Nikipata muda kidogo I prefer kuingia Jf na kusoma comments za nyuzi zingine lakini sio hii
 
Mimi huwa sishindi kwenye uzi huu. Sina huo muda wa kupoteza. Uzi huu huwa mrefu na hauna mwanzo wala mwisho. Nikipata muda kidogo I prefer kuingia Jf na kusoma comments za nyuzi zingine lakini sio hii
Unapita kimya kimya bila kuacha hata nukta.

Nina swali nataka kukuuliza kuhusu wewe na wakenya wenzako...ukifanikiwa kujibu kwa "kujielewa" nitakutoa kwenye kundi la wakunya mbumbumbu.
 
Back
Top Bottom