Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
😅😅😅😅😅 Halafu toka airport mpaka huko mwaloni wala hajaonana na Magu, leo ndio wataonana ila kwa watu fudenge yule madenge ndio angeenda kumpokea airport na mizinga ya kijeshi na gwaride 😅😅😅Ila Magu jeuri, yn mchina imebd amfate kwake kabisa na wala hana haja ya kukutana na mchina Dar, as long as amekuja kuomba kazi basi aende kijijini.
Sipati picha ingekuwa ni nchi fulani yn angepokewa capital city angelambwa mpk makalio, hahahahaaa jamaa kwakweli wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]