Hii westland muipumzishe ss imechoka sn wallahi, hii na apartments daily








Hehehee mbn unarudia rudia mipichaSasa unapiga kelele na tukikupea mashule zetu za public mnaanza kulia. Tulia na hii
Nairobi School.
View attachment 1669169View attachment 1669170









Naweza nikakuhakikishia kwmb hujarudia hata shule moja tangu asubuhi, mfano hii Tambaza high school sikuifikiria kabisa licha ya ukweli kwamba ilikuwa shule jirani yangu (Azania)hizi levels mtabaki kuzionea Tanzania
Tambaza High School
View attachment 1669232View attachment 1669233View attachment 1669234View attachment 1669235View attachment 1669236
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 mambo ya loan sasa
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 mambo ya loan sasa
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 mambo ya loan sasa
Wanajua sn na wanaumia kweli kweli ila wakiwa humu hawawezi kukubaliafu walioko huku wanajifanya hawaelewi



Air wing Secondary School.Bado
Jitegemee Srkondary
Makongo Sekondary
Mawenzi Sekondarily
Moshi Secondary School
Moshi Technical Secondary School
Mkwawa Secondary School
Ifunda Technical Secondary School
Nk.....
Orodha ni ndeefu mno.
So unalia kwann 🤣🤣🤣 ok pole futa kamasi basiChildish post,empty skull!
NO FREEDOM COUNTRYAisee mungu ibariki Tanzania umaskini wa hivi daaah mtihani Sana unapata Dogo anakula mlo moja kwa siku alafu viongozi wao ndo hawa hapa👇👇👇👇kila siku nawambia Tanzania sio level yenu upumbavu wa hivi huwez ukaupata kwetu hivi Kenya mnakwama wapi?
Hahahahhaaa nilikuwa sijaona mkuu, daahh Kenya is dungDogo ashukuru hilo hogo, kama sio hivyo angenyanyuliwa kama kibaka na afande onyangoro ampishe mthungu seat kwa raha zake
View attachment 1669259




Wao wanaenda kuwafata sisi wanakuja wenyewe








Bro Sisi tuna maadili na tamaduni zetu vitu vya hivi lazima adhabu upate hili halina ubishi 🙂au unaona alivyo kaa ni Sawa?NO FREEDOM COUNTRY View attachment 1669355View attachment 1669356
Ndioo Wana chimba madini yaitwayo chumvi🙂
Hivi nchini K wanachimba madini kweli sijawa sikia tangu nizaliwe
Niliisikia tuu wanaiba Madina yetu alafu wana sema yao
The best 007
Naton Jr
Simon
Geza Ulole
joto la jiwe
babayao255
ichoboy01 View attachment 1669342
So ww uko tayar mtu aoneshe utupu wake mbele ya hadhara alaf unaita freedom au nyinyi mushazoea maisha kama ya mbuzi 🤣🤣🤣🤣🤣NO FREEDOM COUNTRY View attachment 1669355View attachment 1669356
Ndo nime mjibu mshikaji☝️☝️☝️tatizo majirani zetu wanajifanya wazungu Sana🙂So ww uko tayar mtu aoneshe utupu wake mbele ya hadhara alaf unaita freedom au nyinyi mushazoea maisha kama ya mbuzi 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna baadhi ya Watz walikuwa hawajui vzr nchi yao but huu uzi umewasaidia sn, lkn pia kuna uzalendo flani cku hz Watz wamekuwa nao juu ya nchi yao, kweli Rais ni mtu mkubwa sn, Magu amebadili mindset za Watz aisee.
Jamaa alistuka alijua bado upo kwenye shuleStella Morris Hotel Bagamoyo
View attachment 1669309View attachment 1669310View attachment 1669311View attachment 1669312




Tuna tamadun ww chizi hii syo nchi ya vichaa km yenuNO FREEDOM COUNTRY View attachment 1669355View attachment 1669356