Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa hawaja jenga shule hata moja. Shule zote walizoziweka ni za wakoloni.

Hawa jamaa aisee!! Aibu kubwa mno.
Huwezi ukakuta shule iliyojengwa baada ya uhuru wao.
Kumbe na wewe umenote hicho kitu?

Hata hizo primary schools zinazokua kama zinafanana sio serikali yao imejezijenga, hawa jamaa bila private schools hasa makanisa hawana shule hata 1

Napiga picture ule mkopo wa trillion 1 wa WB ukitoka sijui Tanzania Itakuaje kwenye sector ya shule, sababu kutajengwa shule nchi nzima almost kila baada ya Kata 3 za viwango
 
Kumbe kuna omba omba wengine wanacheza home games?🤣🤣🤣Tanzanians were born to be beggars🤣🤣🤣.


They've always maintained that these are not Tanzanians. Leo wakatae na hii pia
 
Hii nilisema ipumzisheni 😅😅

Yaani kweli mna uhaba wa kutisha wa shule, yaani sikutegemea nitawabimiza mapema hivi? 🤣🤣🤣
Tuna uhaba wa shule na tunawafundisha 😂 😂
Are you even listening to yourself?
2657658_2280048_ajira.jpg
 
Wakenya waliokua wakijiuliza kwamba mbona tuna shule nzuri hivi ambazo ninyi haitotokea muwe nazo lakini kuna watanzania wanasoma Kenya

Jibu lenu ni kwamba hao watanzania wanaosoma Kenya wanakuja huko sababu max zao haziwaruhusu kuingia upper classes, ndio maana hukimbilia Kenya na Uganda kwenye reckless education system
huo ndiyo ukwelo waliofel ndiyo huwa wanaenda kenya au uganda kutafuta unafuu ama urahisi wa elimu...
 
Back
Top Bottom