Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Istiqama Secondary School Tanga

maxresdefault (18).jpg
images - 2021-01-05T183426.609.jpeg
mqdefault.jpg
60915.jpg
 
Wakenya waliokua wakijiuliza kwamba mbona tuna shule nzuri hivi ambazo ninyi haitotokea muwe nazo lakini kuna watanzania wanasoma Kenya

Jibu lenu ni kwamba hao watanzania wanaosoma Kenya wanakuja huko sababu max zao haziwaruhusu kuingia upper classes, ndio maana hukimbilia Kenya na Uganda kwenye reckless education system
 
Wakenya waliokua wakijiuliza kwamba mbona tuna shule nzuri hivi ambazo ninyi haitotokea muwe nazo lakini kuna watanzania wanasoma Kenya

Jibu lenu ni kwamba hao watanzania wanaosoma Kenya wanakuja huko sababu max zao haziwaruhusu kuingia upper classes, ndio maana hukimbilia Kenya na Uganda kwenye reckless education system
True. Sijawahi kuona mtanzania mwenye akili akienda kusoma kenya. Na wakirudi huwa wanahangaika sana.

Hata hivyo nimewahi kwenda Arusha kwenye shule fulani ya primary wakenya wengi mno walikuwa wanaandikiswa.
 
Hii njia unajaribu kufuata unafaa ujue akina ichoboy01 walijaribu wakashindwa🤣🤣🤣 alikuwa anapaza sauti hapa venye expressway haitawaijengwa, saa kazi yake ni kulia usiku na achana😂😂. Hata wewe I would advice you to retract your statement before it's too late because we will be using it to tickle you🤣🤣
Ina maana ntakua narusha jiwe kwenye kituo cha polisi?🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom