mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,517
- 5,124
quote shule yoyote ya kenya imepostiwa unaona si public school acha kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini
Pamoja na hivyo bado tumewakalisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]