Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini

Pamoja na hivyo bado tumewakalisha
quote shule yoyote ya kenya imepostiwa unaona si public school acha kulia
 
Kenya High School. Wengine watasema hii ni private school😂😂😂

images (26).jpeg
images (24).jpeg
images (27).jpeg
 
Back
Top Bottom