mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
quote shule yoyote ya kenya imepostiwa unaona si public school acha kuliaHakuna shule ya serikali mliopost, zote mlizopost zimejengwa na wafadhili wazungu na nyingine umekiri mwenyewe 80% zinafadhiliwa na taasisi za kidini
Pamoja na hivyo bado tumewakalisha![]()









