Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Message nzima inasema kuwa magari za Tanzania na Kenya zinakuwa assembled in Mombasa
Weka msg nzima nzima mbn umeikata
Part yenye nilikata ndio hiyo hapa
IMG_20210104_113310_275.jpeg
 
denial kama kawa. Hapo ni inbox yao ya fb. Shida ya watanzania hawataki kukubali kuwa Kenya iko mbele yao.
Hamna kitu hapo🙂tunataka official website Yao ya company sio mambo ya Facebook sijui umenilewa? Anyone can create account kwa Facebook atumie jina ambalo sio lake kuna matapeli wa mtandao na unalijua Hilo 🙂
 
Hamna kitu hapo🙂tunataka official website Yao ya company sio mambo ya Facebook sijui umenilewa? Anyone can create account kwa Facebook atumie jina ambalo sio lake kuna matapeli wa mtandao na unalijua Hilo 🙂
Mm nakwambia akipata plant assembly ya scania kenya nzima mm nafunga acc jamii forum andikeni maneno yangu🤣🤣🤣
 
Message inasema Scania zote za Kenya and Tanzania are being assembled in Mombasa. I asked for two countries which are Kenya and Tanzania na wamesema Scania ambazo zinatukima Kenya na Tanzania are assembled in Mombasa
Kwahiyo hiyo Tz hapo ukawa hupendi kuiona
IMG_20210104_113310_275.jpeg
 
Message nzima inasema kuwa magari za Tanzania na Kenya zinakuwa assembled in MombasaPart yenye nilikata ndio hiyo hapaView attachment 1667265
Unaelewa maana ya full stop? "In Kenya and Tanzania."......, then ulivyofala unasema zote zinakuwa assembled in Mombasa unashindwa hata kujua ulimuulizaje na akakujibu vp, yn ww ni kimba kabisa
 
Wewe nilishakuambia achana na kingereza juu hakuna kitu unaelewa hapo. Scania zote za Kenya na Tanzania are assembled in Mombasa wewe fala
Unaelewa maana ya full stop? "In Kenya and Tanzania."......, then ulivyofala unasema zote zinakuwa assembled in Mombasa unashindwa hata kujua ulimuulizaje na akakujibu vp, yn ww ni kimba kabisa
 
Back
Top Bottom