President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,785
Na hii safari ya Wachina kuja kumuona JPM. China Railway watahusika.Nahisi kutakua na deal la SGR phase yoyote soon.
Na hii safari ya Wachina kuja kumuona JPM. China Railway watahusika.Nahisi kutakua na deal la SGR phase yoyote soon.
Take it from me. Kenya ndiyo nchi pekee inayojiendesha kiujanja ujanja kwenye ukanda huu ukitoa nchi ndogondogo kama akina Burundi na S.S. Kwa jinsi Tshekedi anavyojaribu kuiendesha DRC usijeshangaa Kenya ikawa outran na majirani wote in the near future.
By 2025 hakuna nchi EA itatusogelea in terms of infrastructure & transportation.
Kaba ndula basi achana na feelings za kikeSasa hivi nimeacha kulialia na kujiumiza. Nimeketi nakaanga bisi na kufurahia kipindi. Jiwe baada ya jiwe.
Ni mwendo wa spanner tu.View attachment 1667222
Zile 1.5 trilion ambazo matumizi yake hayajulikani vipiSasa hivi nimewavulia kofia mkuu. So you are just right genius. Ununuzi haujawahi pitishwa bungeni ndugu Einstein.
Nilikuwa nawaoneo huruma jinsi bro Magu anavyowanyoosha bila huruma ila now nishavuta kiti na glass ya juice pembeni. Naendelea kufurahia shoo. Acha muendelee kuchezea bakora. Huku wazungu huku Tz.



Mbona Assad keshalisema hilo la matumizi mabaya ya fedha, 1.5trillion hasijulikani zilipo yani kaprodhesha sekta kibao ambazo fedha zinatumika kiholela..Ww unaongea ujinga snaa mda mwingine niwakupuuzwa
China washausoma mchezo kuwa sisi sasa hivi tunataka win win deals. Hivyo wameona siyo ishu maana siyo kwamba fair deals haziwalipi. Ni ile tu walizoea kutuweka shamba la bibi kama wanavyowafanyia hao jirani zetu hapo juu.Na hii safari ya Wachina kuja kumuona JPM. China Railway watahusika.
Feelings za kike ni kuwa na taifa la kike na serikali ya kike. Serikali ambayo haiweji kujitafutia pesa kwa ajili ya shughuli zake. Kila uchao na bakuli kwa mabeberu;Kaba ndula basi achana na feelings za kike
Hapo umentafuta komora mkafanya Photoshop 🙂mbona kwenye website Yao hii habari haipo?Good morning to every fool here mwenye alinipinga kuwa hakuna assembly plant ya Scania Kenya
ichoboy01 unaona venye wewe ni mjingaView attachment 1667255
Kweli Tanzania sio level Yao cheki standard ya Barabara na usafi pamoja na mpangilio very beautiful indeed 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
Hapo umentafuta komora mkafanya Photoshopmbona kwenye website Yao hii habari haipo?


denial kama kawa. Hapo ni inbox yao ya fb. Shida ya watanzania hawataki kukubali kuwa Kenya iko mbele yao.

KeshafutaHapo umentafuta komora mkafanya Photoshopmbona kwenye website Yao hii habari haipo?






