Hebu muulize hili swali lako alafu weka hapa tuoneMessage inasema Scania zote za Kenya and Tanzania are being assembled in Mombasa. I asked for two countries which are Kenya and Tanzania na wamesema Scania ambazo zinatukima Kenya na Tanzania are assembled in Mombasa
View attachment 1667272






Hawezi akapata 🤣🤣🤣🤣🤣Mm nakwambia akipata plant assembly ya scania kenya nzima mm nafunga acc jamii forum andikeni maneno yangu🤣🤣🤣
Muulize hili swali alafu weka hapa, unajua ww kwa hii tabia yako hata Wakenya wenzako wanakushangaa sn, una tabia mby mno wewe dada.Wewe nilishakuambia achana na kingereza juu hakuna kitu unaelewa hapo. Scania zote za Kenya na Tanzania are assembled in Mombasa wewe fala
![]()


. Watanzania wanaogopa ukweli sana
Huyo ni fala sn ana mambo ya kiwaki sn sidhani hata kama anaishi na watu vzr juu ya tabia yake hiyo, yn ana tabia zote mby![]()
True,they’re even arguing about SUNFLAG GROUP KENYA with a branch in Arusha,very incorrigible people!denial kama kawa. Hapo ni inbox yao ya fb. Shida ya watanzania hawataki kukubali kuwa Kenya iko mbele yao.
![]()
Vipi hizi screenshots fake si ndio umezikimbia kule kwenye tofauti kati ya DNA na RNA baada ya kukuwekea "sources"za kuaminika?




Kimba nyingine hii hapa, haya tuambie the owner of that industry.True,they’re even arguing about SUNFLAG GROUP KENYA with a branch in Arusha,very incorrigible people!
We jamaa tafuta namna uwe na exposure kidogo. Hivi unakazi kweli!?Hiyo kuunganisha inaitwaje kwa kingereza?Wewe hakuna kitu unajua bana
![]()
Watanzania ni watu wanaogopa ukweli sana.Muulize hili swali alafu weka hapa, unajua ww kwa hii tabia yako hata Wakenya wenzako wanakushangaa sn, una tabia mby mno wewe dada.







Wewe ndio huna exposureWe jamaa tafuta namna uwe na exposure kidogo. Hivi unakazi kweli!?
Tulikuwekea hivyo vitu vinafanyika kila nchi.
Hapa Tanzania kuna Dar Coach, HansPaul, Carmatec etc.
Hebu wakati mwingine ona aibu basi.


. Tanzania only do body buildings and not assembling. I know your stupidity can't allow you to differentiate the two

Why can't you reply the last comment I quoted you? I'm still waiting for your replyVipi hizi screenshots fake si ndio umezikimbia kule kwenye tofauti kati ya DNA na RNA baada ya kukuwekea "sources"za kuaminika?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app


kupitia tz china atazifikia nchi landlocked kirahisi,China washausoma mchezo kuwa sisi sasa hivi tunataka win win deals. Hivyo wameona siyo ishu maana siyo kwamba fair deals haziwalipi. Ni ile tu walizoea kutuweka shamba la bibi kama wanavyowafanyia hao jirani zetu hapo juu.
Wachina ukiwakazia infrastructure zao ni nzuri sana tu. Tazara kwa mfano; ni iconic. Hii ndiyo sababu hata kipindi cha uchaguzi wamarekani walipoanza kujibaraguza China wakawapa onyo waache mambo yasiyowahusu.


And if you insist on the truth watakuchukia and start calling you all sorts of names. Right now I'm their enemy number one in this thread because I tell them the truthTrue,they’re even arguing about SUNFLAG GROUP KENYA with a branch in Arusha,very incorrigible people!



Tatizo duniani hatujaanza sisi wala pia sio wa mwisho kukopa, kwhyo hayo maeneno yako mpelekee abdalla maleso aweke kw khanga zakeFeelings za kike ni kuwa na taifa la kike na serikali ya kike. Serikali ambayo haiweji kujitafutia pesa kwa ajili ya shughuli zake. Kila uchao na bakuli kwa mabeberu;
Naomba hela za corona (halafu zinapigwa),
Naomba unijengee express way,
Naomba unijengee SGR,
Hilo taifa ipo siku mtashtuka mmeuzwa tayari.
Mbona sioni Quotes yako?Why can't you reply the last comment I quoted you? I'm still waiting for your reply![]()
Mbunge wao analala hko bungeni

