Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As long as ACTL inafanya biashara basi lazima iwe na financial statement. Tupe hio financial statement.
Ndio imeingia kwenye biashara ina just 3 yrs kwenye business na bado huge investments zinaendelea na ukumbuke Atcl wana dominate 70% ya all local flights in tanzania kwa sasa
 
Hapana ni ujinga sasa ww unashangilia fataki inasaidia nn wakat munazidi kuumia na inflation 🤣🤣 yani mambo ya msingi hamunayo kichwani kabisa


Sisi tukiringa unahisi uchungu mkali sana lakini wewe ukituringia unataka tuvumilie tu. Wewe juzi si ndio ulikuwa unaturingia kuwa mkubwa wa Dar ana magari matatu mazito ya kutisha watu? Eti Prado ya 2020, Infinity matata na Range Rover nyingine ya kutisha? Sasa hayo magari yanasaidia Mlazy wa kawaida vipi? Wewe ulipokuwa unaringa hatukukataza so vumilia tu kama sisi tulivyovumilia.
 
Yeah with low quality stations and tracks
Umemaliza firework za Nairobi!? Na zingine umeweka za zamani.

Nianze na Mimi!?
IMG_20210101_113831.jpg
IMG_20210101_114046.jpg
IMG_20210101_113825.jpg
IMG_20210101_113828.jpg
IMG_20210101_113822.jpg
 
Sijui huu ujinga wako umetoka kwa baba ama umetoka kwa mama. Do you know the importance of financial statements wewe? Kwanza unajua financial statements ni nini?
Ww unataka za nn na bado ushaambiwa investment inaendelea?? Tumeagiza ndege zingine 7 wacha zije kwanza zianze kazi alaf ulizia alaf ufananishe na hio airline miak 30 inamiliki ndege tatu na loss zinazotisha africa
 
Sisi tukiringa unahisi uchungu mkali sana lakini wewe ukituringia unataka tuvumilie tu. Wewe juzi si ndio ulikuwa unaturingia kuwa mkubwa wa Dar ana magari matatu mazito ya kutisha watu? Eti Prado ya 2020, Infinity matata na Range Rover nyingine ya kutisha? Sasa hayo magari yanasaidia Mlazy wa kawaida vipi? Wewe ulipokuwa unaringa hatukukataza so vumilia tu kama sisi tulivyovumilia.
Hvi kama sio upuuzi unaeza kaa humu ukaanza kusifia hui ushuzi🤣🤣 aise muna safari ndefu sana
 
Sijui huu ujinga wako umetoka kwa baba ama umetoka kwa mama. Do you know the importance of financial statements wewe? Kwanza unajua financial statements ni nini?
So ATCL inakuumiza sana kichwa 🤣🤣🤣 and its just 3 yrs
 
nilitegemea kilio asante
Tunataka kuona the financial statements za hizo three years. We want to see the expenditures za hizo three years, we also want to see the revenue you got within those three years.
 
Though picha ya jengo imegeuka mbele nyuma ila kwanini hako ka-ghorofa ka mbele/nyuma katikati ni kafupi?
unaweza kuta gharama ya walichojenga ni ya render!
Bora tuna hospitali kubwa kwenye county hio. Hayo maneno yenu mengine ni irrelevant
 
So ATCL only have four international routes?

Sijui wakenya mfumo wenu wa kufikiria uliunganishwa na mishipa ya makalio maana ni kama mnatumia makalio kufikiria yaan badala uangalie mapato yanayotokana na shirika la ndege unaangalia idadi ya international routes..ndo maana shirika lenu lina zalisha hasara maana kwa TZ tunaangalia mapato na sio wingi wa routes ambazo hazina tija na badala yake kuleta hasara... KQ inaenda na abiria wawili Marekani ili mradi muonekane mna route nying..stupid
 
Back
Top Bottom