Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunataka kuona the financial statements za hizo three years. We want to see the expenditures za hizo three years, we also want to see the revenue you got within those three years.
Ww ndio mkaguzi wa hesabu za serekali??? Nikikwambia unajitia kila kitu kujua unanichukua 🤣🤣🤣🤣
 
Sijui wakenya mfumo wenu wa kufikiria uliunganishwa na mishipa ya makalio maana ni kama mnatumia makalio kufikiria yaan badala uangalie mapato yanayotokana na shirika la ndege unaangalia idadi ya international routes..ndo maana shirika lenu lina zalisha hasara maana kwa TZ tunaangalia mapato na sio wingi wa routes ambazo hazina tija na badala yake kuleta hasara... KQ inaenda na abiria wawili Marekani ili mradi muonekane mna route nying..stupid
Ebu tuonyeshe mapato ya ATCL
 
Hakuna kitu ambacho hakina msaada, hata mavi ambayo hatupendi hata kuyaona baada ya kukuja, bado yanatumika kuzalisha mbolea na gesi, ila kwa Kenya Ugatuzi unasababisha hasara zaidi kuliko faida.

Tanzania tunaongoza hapa Africa kwa sasa kwa kujenga miundo mbinu, bila ugatuzi. Ugatuzi unaongeza gharama za kuendesha serikali, unaongeza rushwa, unaongeza ukabila na Nepotism, ni kikwazo kwa umoja wa kitaifa, unasababisha wizi na matumizi mabaya ya pesa za nchi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Lakini umepima vipi ndio ukajua kuwa disadvantages za ugatuzi zimezidi advantages?
 
Ngojeni leo mkaguzi wa serekali atuambiwe ukweli manake kasema serekali inadanganya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tukuoneshe fireworks zinasaidia nn ??? Au zinawapa chakula kibera hvi tony umekuaje ww🤣🤣🤣🤣
Kubali tu kwamba jana wakati iligonga saa sita usiku, nyinyi mlisherehekea mwaka mpya gizani huku sisi tukisherehekea na fireworks. Dar bado mpo stone age maana miji zote kubwa tajika lazima zifanye fireworks display. Yenu iko wapi?
 
Sasa utaona fireworks wapi wakati your entire life has been based in Tanzania? Safari zako outside Tanzania ni za kuja slums za Kenya, last time Christmas ilikupata Kaloleni slum in Kisumu
Ww ni mtoto mdogo sana kwangu tena kwa kila kitu mzee weka akilini hilo neno 😅😅
 
Sasa utaona fireworks wapi wakati your entire life has been based in Tanzania? Safari zako outside Tanzania ni za kuja slums za Kenya, last time Christmas ilikupata Kaloleni slum in Kisumu
Huyo jamaa ichoboy01 nimenotice ameumwa sana na hii mambo ya fireworks
 
Back
Top Bottom