Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi siyo mkakuguzi ndio maana nataka kuona financial statements za ATCL. Yani mtu anataka kutuaminisha kuwa since 2016 ATCL have never balanced their books..
Ww ni mkaguzi wa hesabu wa serekali na ww ni msema ukweli baada ya kusema serekali inadanganya 🤣🤣🤣🤣 haya tueleze ukweli sasa tunasubiri kwani mumesahau kwenye corona mulisema tanzania watakufa wote imekuaje sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yule unaemuita muongo kaonekana genius dunia nzima
 
Mimi siyo mkakuguzi ndio maana nataka kuona financial statements za ATCL. Yani mtu anataka kutuaminisha kuwa since 2016 ATCL have never balanced their books..
AtCl ni shirika lilofufuliwa within 3 yrs na sasa lina ndege 11 huku 7 zimeagizwa na bado wana invest zaidi so leo utafananisha ATCl na ile loss making company with 3 owned aircrafts miaka 40🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ebu tuonyeshe mapato ya ATCL

Ona sasa unaendelea kudhiilisha kuwa unatumia makalio kufikiria...Mapato unaniomba mimi..,oya embu mtoeni uyo jamaa anapoelekea ataniomba hadi niende kumtoa Kenyata madarakani
 
Dar kwa mbali kidogo tukisubiri mwaka mpya
View attachment 1664600
Hakuna fireworks hata moja. Hahahaha. Wazee bado mpo stone age. Nairobi sio ligi yenu. Kachezeni na Kampala huko.

2653985_IMG_20210101_091541.jpeg
2654028_IMG_20210101_011459.jpeg



2654030_IMG_20210101_104712.jpeg
2654032_IMG_20210101_012006.jpeg
 
Ww ni mkaguzi wa hesabu wa serekali na ww ni msema ukweli baada ya kusema serekali inadanganya haya tueleze ukweli sasa tunasubiri kwani mumesahau kwenye corona mulisema tanzania watakufa wote imekuaje sasa yule unaemuita muongo kaonekana genius dunia nzima
ATCL ikitengeneza faida ya hata shilingi moja uniite
 
AtCl ni shirika lilofufuliwa within 3 yrs na sasa lina ndege 11 huku 7 zimeagizwa na bado wana invest zaidi so leo utafananisha ATCl na ile loss making company with 3 owned aircrafts miaka 40
Acha kelele mingi bana. We want to see financial statements za ATCL. Yani shirika imetengeza hasara hadi serikali ikawa na aibu ya kutangaza
 
Back
Top Bottom