Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Athi River kama sijakosea.
Screenshot_20201231-232826.png
Screenshot_20201231-232841.png
 
Asante sana kw kulituma dume la africa nzima[emoji1787][emoji1787]
Huyo ananguruma na vyuma viwili juu hku akiwa speed ya 80kph
Ndiyo huyo huyo atakayefanya muuwane 2022, wait April bullet ifike choko choko zianze ndani ya Kunyaland.

Na tunajuwa nyie ni huwa mnaelewa taratibu mno mpk muone bullet train huku Tz ndo mtagundua kuwa mlipigwa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe ndio the ruddest Mtanzania kwa hii forum. Watanzania wengine ni wastaarabu lakini wewe una ukenya ukenya ndani yako.
Hahahahahaaaaa nimeisave hii, mana nimecheka kwa sauti [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
You'll never see it anywhere in the bloc except, in Tanzania.
Mumeweka oder wapi hzo bullet[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona oder za ndege wakulu wanapost twitter mpka hela na kampuni..
Train leo ndio msipost, hela hamna mturuki ameshachoka
 
Wewe ndio the ruddest Mtanzania kwa hii forum. Watanzania wengine ni wastaarabu lakini wewe una ukenya ukenya ndani yako.
Hapa ilibd niwa mention watu ila tony aliniambia ataondoka jamii forums [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mumeweka oder wapi hzo bullet[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona oder za ndege wakulu wanapost twitter mpka hela na kampuni..
Train leo ndio msipost, hela hamna mturuki ameshachoka
Niliwaambia waniwekee evidence kwamba bullet train ya ITX ndio inakuja wakanyamaza. Maana hata wao hawajui ni train gani inakuja. Tungi la chang'aa ndilo litashushwa kwenye bandari.
 
Niliwaambia waniwekee evidence kwamba bullet train ya ITX ndio inakuja wakanyamaza. Maana hata wao hawajui ni train gani inakuja. Tungi la chang'aa ndilo litashushwa kwenye bandari.
Tena tatizo zaidi dume lao la mizigo halitabena double stack[emoji1787][emoji1787]
Yani tungi la changaa tena bila double stack
 
Back
Top Bottom