Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Isinya,
Screenshot_20201231-232308.png
Screenshot_20201231-232138.png
 
Na hatuwezi kuwa nayo, we unatuonaje kwnz sisi? Sisi tunajipenda na tunapenda vitu vzr nyie mnapenda sifa lkn hampendi vitu vzr pia ni wachafu sana nyie.
Sio eti hampendi, quality ya reli yenu ndio hairuhusu double stack[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna shida kubwa mno. Mnatuaibisha waafrica. This is the era of Science and Technology you are buying the colonial era train aka stone age train.
Pwahahahahahaha
Stone age inayobeba double stack[emoji1787][emoji1787]
Mtasubiri sana
 
Duuu, bro what's ksh 20mio. It's a peanut for a well paid musician like Kiba.
Unaumwa wewe..
Yani wewe ndio wale wanaobabaishwa na maisha ya viooni, jaribu hata kupata mtu anayeishi nao hao ndio utajua hali zao kando na mitandaoni
 
Hapana hii ni nyingine, vitu vingi vipo mule ila nategemea kuitengeneza cz ni kioo tu ndo nilivunja kwa kukalia, ikipona ile nitahamisha vitu vyote humu ili twende sawa [emoji3][emoji3][emoji3]
Vipi utavunja simu kwa kukalia tu? Dah.
 
Back
Top Bottom