curtis jr2
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 770
- 4,588
Hivyo vi hiace haviwezi kanyaga darMutabakia kupoteza pesa za taxpayers kupaka lisptics tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1663761
Hivyo vi hiace haviwezi kanyaga darMutabakia kupoteza pesa za taxpayers kupaka lisptics tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1663761
He is grasping at strawsAll our commuter trains are either red stripped or green. There is no such colour in our trains.
He is desperateThis is not a commuter train. This is a tourism train from Nairobi to Nanyuki. Please try to find another picture[emoji23][emoji23]
South Sudan ilikombolewa kwa mtutu wa bunduki, mchango wa mazungumzo ni mdogo sana, huwezi kulinganisha Uganda ambayo wanajeshi wake walipoteza maisha ndani ya South Sudan, Hospitali zao zilijaa majerui wa Vita, chakula na Uchumi wa Uganda ulibeba gharama za vita vya ukombozi wa South Sudan, na Kenya ambayo ilichangia katika upatanishi, mchango wa Uganda ni mkubwa zaidi ya mara kumi ukilinganisha na Kenya.Kwa hivyo mazungumzo ya upatanishi ni mavi mtupu. Kuhost wakimbizi wa SS ni upuuzi mtupu. Haina umuhimu wowote? Sisi kuwaleta mirengo tofauti yaliyokuwa yanapigana against each other into one group ni upuuzi mtupu? Kama Riek Machar na wenzake hawangekubali kumuunga mkono kiongozi mmoja (John Garang) basi nchi hii mpya ingepatikana kweli? Bila umoja hakuna progress ambayo ingefanyika
Uwezo wa wakenya ki akili ni mdogo Sana,Ndio maana tulikataa mkopo wao wa SGR yetu na ujenzi wa bandari ya bagamoyo. Sisi miradi yetu tunayowapa wachina kujenga tunawasimamia barabara kabisa maana tunawajua uhuni wao ukiwaacha wafanye wenyewe. Kinachowaletea shida hawa jirani zetu ni rushwa na ukiritimba uliokithiri. Wapo radhi kuweka nchi yao rehani kwa sababu ya njaa za watu wachache!
Damn Kenyan public transport looks like a shiTVipi kuhusu donkey transport in Nairobi mmeacha!?
View attachment 1663818View attachment 1663819View attachment 1663820
Your own statement last yearWeka ushahidi kuthibitisha hilo
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile
Nani aliyesema Tanzania hatukopi?, tuna sema katika miradi mikubwa hii ya ujenzi wa SGR, Rufiji hydroelectricity na Dar- Kibaha Super highway, tunatumia pesa yetu. Bado tunakopa katika miradi mingine, kumbuka Tanzania sio hiyo miradi mitatu pekee, kuna kusambaza MAJI, umeme na gas mijini na vijijini, barabara, madaraja kama la "New slender bridge".
Kitu muhimu ni kwamba tunajatibu sana kupunguza mikopo hasa " commercial loans', ndio sababu hadi leo Debt/GDP ni chini ya 40%, ambacho ni kiwango cha juu kinachopendekezwa kwa developing countries, wakati Kenya ipo kwenye 60% sasa, ni Hatari sana kwa Kenya.
Eti jeshi la Uganda lilikuwa linapigana na kufa ndani ya Sudan?South Sudan ilikombolewa kwa mtutu wa bunduki, mchango wa mazungumzo ni mdogo sana, huwezi kulinganisha Uganda ambayo wanajeshi wake walipoteza maisha ndani ya South Sudan, Hospitali zao zilijaa majerui wa Vita, chakula na Uchumi wa Uganda ulibeba gharama za vita vya ukombozi wa South Sudan, na Kenya ambayo ilichangia katika upatanishi, mchango wa Uganda ni mkubwa zaidi ya mara kumi ukilinganisha na Kenya.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Endelea kusubir mana ndivyo mlivy wafrika...akil nzitNakataa hadi World Bank waseme
Anakuja kilaza anasema Tuna Intrenet fyoko fyoko Africa
View attachment 1663919
Onyesha wapi tulipinga kwamba Standard Chartered hawakutoa pesa, wakati hii Post yangu ninaiandika, bado mkopo wa Standard Chartered ulikua haujatoka. Unapaswa kuonyesha "statement" iliyopinga kwamba Standard Chartered haikutoa pesa kujenga SGR TanzaniaYour own statement last year
Hadi ilipotokea vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya Riack Machar na Salvar Kiir miaka ya hivi Karibuni, UPDF ndio walikwenda kumsaidia Salvar Kiir.Eti jeshi la Uganda lilikuwa linapigana na kufa ndani ya Sudan?
Black bla bla... beating about the bushOnyesha wapi tulipinga kwamba Standard Chartered hawakutoa pesa, wakati hii Post yangu ninaiandika, bado mkopo wa Standard Chartered ulikua haujatoka. Unapaswa kuonyesha "statement" iliyopinga kwamba Standard Chartered haikutoa pesa kujenga SGR Tanzania
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wewe unaongea kuhusu muda upi? Unaongea kuhusu kabla au baada ya SS kupata Uhuru?Hadi ilipotokea vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya Riack Machar na Salvar Kiir miaka ya hivi Karibuni, UPDF ndio walikwenda kumsaidia Salvar Kiir.
Historia ya Ukombozi wa South Sudan na Uganda, ni sawa sawa na Msumbiji na Tanzania. Tanzania ilishaidia kuikomboa Msumbiji toka kwa wareno, lakini vita vya FRELIMO na RENAMO vilipoonyesha FRELIMO inazidiwa nguvu, TPDF walikwenda kuzima majeshi ya RENAMO, hivi majuzi tulikwenda kuzima Mujahidina, ndivyo ilivyo Uganda na South Sudan.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Chato kumechangamka kweli Au ndio tunajipendekeza kwa uncle
Jengo linazid kuvutiaaa mnooo