ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wanaposema data za robo mwaka hua wanamaanisha nn hebu leo tufundishe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unataka data za 2020 zitoke wakati 2020 enyewe haijaisha? Kwa kweli wewe ni SI unit of stupidity![]()
Wanaposema data za robo mwaka hua wanamaanisha nn hebu leo tufundishe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unataka data za 2020 zitoke wakati 2020 enyewe haijaisha? Kwa kweli wewe ni SI unit of stupidity![]()
Machozi yafute basi 🤣🤣🤣🤣👇👇👇Hadi ndani yake inafanana na Mabati rolling mills kamili![]()
Pwahahaha naona umeanza kuchanganikiwa sasa.Utaacha ujinga lini wewe?From number 4 to number 6 zote ni taxi. Now I understand why Tanzanians are usually called Tangajingas
![]()
Mjuaji wa kila kitu hakuna kitu hujui wewe 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇Hadi ndani yake inafanana na Mabati rolling mills kamili![]()
We jamaa ni mshamba sana. Hujaona hapo nimeandika train!?hiyo comuter iko wapi tuone
Div 4 ni ya makaratasi tu haiondoi ukweli kwamba mtu ni intelligent, it depends na the way mtihani umekuja au situation gn zimekukumba kipindi cha mtihani.Mbona hufanani na div 4 bro





Yeah na kama kweli basi atumbie ilikuaje. ...Div 4 ni ya makaratasi tu haiondoi ukweli kwamba mtu ni intelligent, it depends na the way mtihani umekuja au situation gn zimekukumba kipindi cha mtihani.
Btw, joto anawatia moto tu mana kupata div4 nayo kaziii![]()
Vipi kuhusu donkey transport in Nairobi mmeacha!?hiyo comuter iko wapi tuone
You are foolish.Wanaposema data za robo mwaka hua wanamaanisha nn hebu leo tufundishe![]()
Hii c ndiyo ilikuwa stand ya mkoa?Kituo cha mwendo kasi ndani ya Ubungo Terminal nadhaki kinaunganisha na kule Simu 2000.
View attachment 1663625
View attachment 1663626
View attachment 1663627
View attachment 1663628
View attachment 1663629
Naona ukiovertake the Best007 kwa ujingaPwahahaha naona umeanza kuchanganikiwa sasa.
Hebu tuoneshe matatu kacha
View attachment 1663804View attachment 1663805View attachment 1663806


. Yani hujui kuwa Uber na taxify zote ni taxi?


Sasa kwanini ulie ok stop crying acha umama tako wewe🤣🤣🤣🤣🤣You are foolish.
Leta picha tuoneWe jamaa ni mshamba sana. Hujaona hapo nimeandika train!?



Umeumia kweli



. Yani post yangu moja unareply mara hamsini


Aisee Magu kaifumua hii nchi, construction everywhere, habagui huyu jamaa kwakweli.Kituo cha mwendo kasi ndani ya Ubungo Terminal nadhaki kinaunganisha na kule Simu 2000.
View attachment 1663625
View attachment 1663626
View attachment 1663627
View attachment 1663628
View attachment 1663629




Nijibu swali hili kwanza tuendelee. Je ni kweli donkey transport ipo nairobi!?Leta picha tuone![]()