Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Iko na mpaka tangazo ya kumuita Venus star[emoji350][emoji350][emoji350]
View attachment 1663849
Siumeona kitu mpya hyo, ss na nyie mujifunze utaratibu wa kununua vitu vipya co mtumba tu lkn pia kama unataka mambo ya ulaya tuanzie hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
JamiiForums-516230121.jpg
 
Siku Tanzania Aviation Authority and Kenya Airports Authority will release their 2020 data I'll update you. As for now we are using 2019 data juu 2020 bado haijaisha[emoji23][emoji23][emoji23].

JKIA - 8.3m passengers
All Tanzanian airports - 5 million passengers

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji116]
Survey hahaha halafu unaleta data za 2019 wapi 2020

2020 is a death of Kenya
2424402_Screenshot_20200611-154454.png

2455621_Screenshot_147.jpeg
 
Siku Tanzania Aviation Authority and Kenya Airports Authority will release their 2020 data I'll update you. As for now we are using 2019 data juu 2020 bado haijaisha[emoji23][emoji23][emoji23].

JKIA - 8.3m passengers
All Tanzanian airports - 5 million passengers

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1663866View attachment 1663867
Pwahahaha corona imewazika kabisa
Screenshot_20201231-145541.png
 
Kenya ndio ilichangia sana kushinda nchi yoyote Afrika kwa South Sudan kujitenga kutoka Sudan. Hata John Garang alikuwa anaishi Kenya na familia yake pia ilikuwa inaishi Kenya. Halafu peace Agreement ya kwanza kabisa ambayo watu wa SS walisign ili kuwaleta pamoja wapiganaji tofauti wa SS, nadhani mwaka wa 2005, ulisainiwa Naivasha hapa Kenya. Kwa hivyo sisi tumechangia pakubwa kwa SS kuwa nchi huru kushinda nchi yoyote ile. Endeleeni na wimbo wenu wa CCM "Tuliikomboa Afrika."
Wacha uongo, Uganda ndio walichangia zaidi, wao walipekeka Jeshi na kuwapa silaha, majeruhi wote wa vita walipelekwa Uganda, 80% ya silaha zao zilitoka Uganda na mafunzo ya wanajeshi wa South Sudan yalifanywa na UPDF, Kenya ninyi ni maneno matupu, zaidi ya wakimbizi kuishi Kenya na kufanya mazungumzo ya upatanishi, nini tena mlisaidia South Sudan?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wacha uongo, Uganda ndio walichangia zaidi, wao walipekeka Jeshi na kuwapa silaha, majeruhi wote wa vita walipelekwa Uganda, 80% ya silaha zao zilitoka Uganda na mafunzo ya wanajeshi wa South Sudan yalifanywa na UPDF, Kenya ninyi ni maneno matupu, zaidi ya wakimbizi kuishi Kenya na kufanya mazungumzo ya upatanishi, nini tena mlisaidia South Sudan?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwa hivyo mazungumzo ya upatanishi ni mavi mtupu. Kuhost wakimbizi wa SS ni upuuzi mtupu. Haina umuhimu wowote? Sisi kuwaleta mirengo tofauti yaliyokuwa yanapigana against each other into one group ni upuuzi mtupu? Kama Riek Machar na wenzake hawangekubali kumuunga mkono kiongozi mmoja (John Garang) basi nchi hii mpya ingepatikana kweli? Bila umoja hakuna progress ambayo ingefanyika
 
Kusema ukweli huwa nakaa nafikiria sana kwamba hivi hzi train zenye vichwa kama vya mbogo za sgr ya Kenya ndizo zilikuwa kwenye mkataba kweli? Au serikali yao iliona kwamba gharama ya kununua trains za kisasa itawaongezea gharama za sgr na na hivyo mchina anaweza akaendesha hilo shirika lao la reli (KRC) kwa miaka 50 hivyo wakamwomba tu mchina awaletee trains zozote za bei nafuu.

Mchina alivyokuwa na akili mbovu wala hata hakuangaika walikwenda tu kwenye museum yao ya trains na kuchomoa hivyo vichwa vya mbogo nakuwaletea wakenya. Haiwezekani ujenge reli kwa gharama kubwa hivyo halafu ushindwe kununua trains za kisasa. JAMANI MCHINA SI MTU MZURI KABISA UKIMWACHA AFANYE ANVYOTAKA YEYE. 😀 😀 😀 😀
 
Kusema ukweli huwa nakaa nafikiria sana kwamba hivi hzi train zenye vichwa kama vya mbogo za sgr ya Kenya ndizo zilikuwa kwenye mkataba kweli? Au serikali yao iliona kwamba gharama ya kununua trains za kisasa itawaongezea gharama za sgr na na hivyo mchina anaweza akaendesha hilo shirika lao la reli (KRC) kwa miaka 50 hivyo wakamwomba tu mchina awaletee trains zozote za bei nafuu.

Mchina alivyokuwa na akili mbovu wala hata hakuangaika walikwenda tu kwenye museum yao ya trains na kuchomoa hivyo vichwa vya mbogo nakuwaletea wakenya. Haiwezekani ujenge reli kwa gharama kubwa hivyo halafu ushindwe kununua trains za kisasa. JAMANI MCHINA SI MTU MZURI KABISA UKIMWACHA AFANYE ANVYOTAKA YEYE. 😀 😀 😀 😀
Huku kwetu wapo ila Watz ni intelligent hawawezi kufanya huo ufala [emoji3][emoji204][emoji86][emoji87][emoji85]
 
Huku kwetu wapo ila Watz ni intelligent hawawezi kufanya huo ufala [emoji3][emoji204][emoji86][emoji87][emoji85]
Ndio maana tulikataa mkopo wao wa SGR yetu na ujenzi wa bandari ya bagamoyo. Sisi miradi yetu tunayowapa wachina kujenga tunawasimamia barabara kabisa maana tunawajua uhuni wao ukiwaacha wafanye wenyewe. Kinachowaletea shida hawa jirani zetu ni rushwa na ukiritimba uliokithiri. Wapo radhi kuweka nchi yao rehani kwa sababu ya njaa za watu wachache!
 

Naona wameshaifuta hii thread.

guys, kumbe hamjaweza kuiona hii video!!

angalien hii video.. hipo kwenye hii thread
 
Back
Top Bottom