Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
🤣 🤣 🤣 ngoja waje na vilio.Nyeri county bus terminal under construction.
View attachment 1663714
🤣 🤣 🤣 ngoja waje na vilio.Nyeri county bus terminal under construction.
View attachment 1663714
Barabara ni ya Kenya. Kwani ulitaka ikuwe ya Tanzania?Wapate faida kwani barabara yao???!!?..




Pwahahaha Leo ninakugonga mpaka uingie mitini. Nakupeleka slow slow tu mpaka uniogopeArticle ya 2007![]()
To bongolalas 😂Delivered to whom?!!??..
Shidako ni ujinga. Unalete picha enye hata wewe mwenyewe hujasoma. Hapo chini imeandikwa " Commuters scramble for a space on a train in the past".
View attachment 1663700


ase.. mnavyoleta za zaman za daladala na za ajali ya brt sio ujinga.. siioooo??Pictures za sign up ceremony kwenye ile ya standard chattered zimepatikana, kwanini hizi za turkey zinakua hazipo? Unateseka mpaka raha 😅😅😅Pesa za ndani Kutoka uturuki 😂
![]()
Turkey wins bid to finance, build $1.9b second phase of Tanzania railway
Firm met technical and financial requirements to clinch deal.www.google.com
Wadau. Saidieni huyu jamaa ku-upload certificate yake tuone kama kweli yeye ni division 4 anavyodai.Kivipi mkuu?, mimi ni div 4 halali kabisa haina shaka, nimepiga picha cheti changu lakini utaalamu wa kuipost hapa ndio unanishinda, ninajitahidi nitaweka ujionee mwenyewe.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wapate faida kwani barabara yao???!!?..
Do you remember the time mlikataa involvement ya standard chartered bank kwenye huo mradi na kusema pesa zote ni za ndani??Hakuna mtu aliyekataa, wewe ndio unakataa unapoambiwa kwamba pesa ya Standard Chartered imelipia kipande cha kutoka Morogoro to Dodoma, ambacho thamani yake ni $1.9B, na GoT imechangia $0.5B katika hicho kipande. Kipande cha Dar hadi Morogoro chenya kugharimu $1.2B ni pesa yetu 100%.
Wewe thibitisha kama kuna pesa yoyote iliyotoka kuchangia hiyo $1.2B. Lazima utuwekee "signing evidence" ya makabidhiano ya hiyo pesa, sio maneno ya magazetini, tuliahidi na nchi nyingi sana lakini hatukufanikiwa hata sehemu moja isipokua Standard Chartered, AfDB pia wameahidi kutoa lakini hadi sasa hawajotoa PESA.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
ase.. mnavyoleta za zaman za daladala na za ajali ya brt sio ujinga.. siioooo??




ase!Typically cowshade
Kwani involvement ya standard chartered bank mliwahikubali hapa? Si kuna hadi baadhi yenu mlihapa kwamba huo mradi sio wa mkopo!Pictures za sign up ceremony kwenye ile ya standard chattered zimepatikana, kwanini hizi za turkey zinakua hazipo? Unateseka mpaka raha 😅😅😅

Pwahahaha Leo ninakugonga mpaka uingie mitini. Nakupeleka slow slow tu mpaka uniogope
View attachment 1663720
Commuter Rail hahahahaha
Hiyo ni china road in kenya,hamuwezi hata kuweka pua yenu hapo kuanzia management hadi employment,in short ninyi ni wapenzi watazamaji...Barabara ni ya Kenya. Kwani ulitaka ikuwe ya Tanzania?![]()
How many kph this snail old dumped can struggle with? 🐌😅😅😅Thanks for TBT.View attachment 1663687
How many kph this snail old dumped can struggle with?![]()
Nyinyi mkijenga zile ugly stations zenu za sgr mnasema ni kulingana na mahitaji. Sisi tukijenga commuter stations kulingana na mahitaji zetu mnawashwa. Nyinyi ni viumbe vya ajabu sanaTypically cowshade
Pole kwa maumivuHiyo ni china road in kenya,hamuwezi hata kuweka pua yenu hapo kuanzia management hadi employment,in short ninyi ni wapenzi watazamaji...


. The road is ours upende usipende.Nakataa hadi World Bank wasemeKwani hujui hao WB data wanazo toa wanapat serikalin? Je vipi serikali ikisema tupo 70+ vijijini na 80+ mijini ....unakataa?