Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Must include KTX bwana. Wacha mchezo.
Screenshot_20201230-112407.jpg
 
Kwa hivyo kwenye public sector serikali na halmashauri za kiserikali ndizo zinatumika kujenga uchumi wenu halafu kwenye private sector basi ni makampuni za wahindi na waarabu. Okay nimeelewa sasa.
Unajitoa akili hii umeielewa kweli?
JamiiForums1068646375.jpg
 
Nasikia basi used za kutoka bongo zina soko kubw pale kenya kina abood wakiagizaga gari mpya za zamani wanauza kenya ili nao wapate ladha.
Wacha kabisa mkuu, niliweka picha hapa eti Tony254 akasema ni kwasababu mpya wkt ishapiga mzigo vya kutosha kabisa, hajui kwmb ili uwe na wateja bongo inatakiwa uwe na bus za kisasa, ona eti tony anasema ni mpya hii
IMG_20201229_171954_042.jpg
IMG_20201229_171929_671.jpg
 
Kwa hivyo Tanzania nyie hamna private companies kubwa? Ndio maana nimekuwa nikisema kuwa private sector ya Tanzania ni ndogo sana.
Tanzania ni ya kijamaa, msingi mkubwa wa ujamaa ni public ownership of Economy, kwa hivyo usijaribu kutaka kutuingiza katika uchumi wa manyang'au ambapo watu wachache binafsi ndio wenye kumiliki uchumi
 
Imefikia Nation media group (NMG) au standard group (SG) kwa ukubwa? Geza unajua vizuri kuwa kampuni za media za Kenya ni kubwa sana na hizo mbili nilizotaja ni kubwa kimapato kushinda kampuni yoyote ya media ya TZ.
Wewe jamaa ni mjinga mno.
Hebu tuanze hapa. Tuoneshe OBS ya hizo company
images - 2020-12-30T112823.588.jpeg
images - 2020-12-30T112751.633.jpeg
images - 2020-12-30T112848.808.jpeg
 
Back
Top Bottom